Wanaopata wanawake wakishua wanafanyeje?


Sasa wewe unaishi namanyere au buzakwampalange kazi unafanya sterio halafu unataka demu wa masaki au upanga!?
 
Nenda kapange mitaa yao. Ili uishi nao.

Muwe mnaonana kama majirani, mtongozane. Hapo utapata demu wa kishua
Ana hela ya kupanga hyo mitaa , alaf hajui tuu wa kishua wana gharama pia , yan nafs ya mwanamke ina ubinafsi flani hata kama yupo vizuri kimaslahi bado atahtaji sent yako ,na akihtaji ujue sent kweli
 
Mdogo angu achana na hayo mawazo...
Elekeza nguvu katika kutafuta ELA tafuta ELA....

Wanawake watakuja wenyewe sawa....
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wasalaam
Kwa Sasa+267
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…