😂😂😂Njoo huku ununio sasa pisi za kishua zinakugombani ila uwe mtunza bustani au muosha gari la Boss
Nimekuelewa..Izo hela nazipataje bila ya connection?
Umemaliza mkuuKuwa na circle ya watu wenye pesa mara nyingi masikini kuwa na urafiki na tajiri inakuaga Kuna ugumu flanii hivi
Mimi naona mnyonyoro ndo kila kitu pia ukitaka urafiki udumu na watu wenye pesa usipende kuomba pesa omba Connection tu .
Salama kabisaUko poa mkuu!?
Tumshukuru Mungu kwa hizo champagne legs, zimenivuruga tayari ..Salama kabisa
Kwa taarifa yako mim ni super HB hao akina mwajuma ndala ndefu wanazimika sna sema nataka wa kishuaTuma picha yako kwanza tujue tatizo ni nini?
Mmh kwenda hukoKwa taarifa yako mim ni super HB hao akina mwajuma ndala ndefu wanazimika sna sema nataka wa kishua
Hio si avatar tu na wewe[emoji23]Tumshukuru Mungu kwa hizo champagne legs, zimenivuruga tayari ..
Kama ni avatar mbona wewe hujaweka mkuu?Hio si avatar tu na wewe[emoji23]
Mi si me nawekaje avatar ya hivo ntaonekana shoga[emoji23]Kama ni avatar mbona wewe hujaweka mkuu?
Ngoja tuone itakuwaje maana daaa!! Akili imeshahamaMi si me nawekaje avatar ya hivo ntaonekana shoga[emoji23]
Jikaze tu mkuu[emoji23]Ngoja tuone itakuwaje maana daaa!! Akili imeshahama
Akirudi aje pm kama hatojaliJikaze tu mkuu[emoji23]
Pole kwa kuvugwaTumshukuru Mungu kwa hizo champagne legs, zimenivuruga tayari ..
Ukubwa ni pamoja na kuelewa ninachopitia hembu kuwa na huruma. BeautyPole kwa kuvugwa
Ndio ukubwa huo
Unapitia nini kwani?Ukubwa ni pamoja na kuelewa ninachopitia hembu kuwa na huruma. Beauty
Unasukuma ndinga gani?Kwa taarifa yako mim ni super HB hao akina mwajuma ndala ndefu wanazimika sna sema nataka wa kishua