Wanaopata wanawake wakishua wanafanyeje?

Wanaopata wanawake wakishua wanafanyeje?

Kwa taarifa yako mim ni super HB hao akina mwajuma ndala ndefu wanazimika sna sema nataka wa kishua
Hilo ndio tatizo lenyewe. Watoto wa kishua wanapenda wenye sura ngumu kama harmo rapa
 
Kiukweli daah kunaa watu wana bahati sana hapa duniani

Nimekua nikisaka mitandaoni nipate japo rafiki tu wakishua atleast tukipiga story tuki flirt nijue na flirt na mtu wa next level naamini ilo litanipa amani na kunipunguzia stress za maisha

Ila wapi mpaka leo sijawai ambulia hata mmoja

Tuseme ndo gundu au bahati zetu wengine nyeusi

Achilia mbali ma sugar momies

Sio kijibrand ndo ukweli mtu na u hb na ushombe ulionao huambulii hata rafiki tu


Emu tupeni connection wadau tunapataje hawa watu ili tujifariji na hizi stress za life
Wakishua wako ivi ili uwendane nao na wakukubali👉👉👉
Uwe mstaarabu(usiwe limbuken wa Mali Kama magari,nyumba,chakula) nk..

Usiwe mtu wa shobo sanaaaa,hawapendi karaha wana wahi kukuchoka



Usiwe omba omba,yaan kitu akupe yeye sio mda wote unalia shida.
 
KAMUULIZE BILNAS

SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
INSTAGRAM @dollrubii_decors
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
KARINUNI SANA. FREE DELIVERY DAR
 
Mmmh tunafunga Juke zetu vioo na tinted zetu atatutongozaje sasa😁😁😁😁

Wakishua mnakutana gym ya mtaani kwenu. Ama jioni kwenye evening run ama evening walk

Pia kuna jumuia za kanisa jirani.

Masaki o bey majirani wanajuana japo sio ile kiundani sana kama uswazi kuchunguzana
 
Wakishua mnakutana gym ya mtaani kwenu. Ama jioni kwenye evening run ama evening walk

Pia kuna jumuia za kanisa jirani.

Masaki o bey majirani wanajuana japo sio ile kiundani sana kama uswazi kuchunguzana
Eeh labda aje gym,na asije na bodaboda tafadhali.....ajitajihidi apaki hata Subaru yake pembeni yetu hapo tutajua tunaongea lugha moja,halafu ajue na lugha ya malkia!
 
Wakishua huwezi kuwapata kama hata Maeneo ya Expensive na tulivu huendi..
Mambo ya kuishia kunywa soda kwa mangi huwezi wapata
..remember hakikisha kuwa unakuwa Smart mwilini mpaka akilini you can catch them all..
 
Back
Top Bottom