Wanaopenda kilimo cha umwagiliaji wote tukutane hapa

Wanaopenda kilimo cha umwagiliaji wote tukutane hapa

Na vp kuhusu kilimo cha vitunguu
Labda kwa haka moja unaweza kutumia gharama kiasi gain na uvunaji wake unakuaje unaweza vuna kiasi gani
Lakini Mimi sijawai kulima ata Mara moja ila napenda sana
Na pia kama unaweza kuwa na idea mahali gani pazur kwa kilimo iki
kilimo cha vitunguu sijawai lima kwa drip
 
Kwa square metre moja ulitumia maji kiasi gani tokea uoteshe nyanya hadi uanze uvunaji
Hua ninalima matuta 6 yenye ulefu wa mita 28 kila moja tuta.kila tuta lina upana wa futi moja juu na mwinuko wa nusu futi au zaidi kutoka chini. Pia katika upana wa futi moja naweka miche miwili sambamba na kupitisha drip mbili kwa kila tuta toka mwanzo hadi mwisho wa tuta.

Nimeweka tank la maji la lita 2000 ambalo msimu wa kukua nyanya(miezi mitatu) huwa namwagilia mara mbili kwa siku(kufungulia bomba kwenye tank msimu wa jua ili kumwagilia ) ikisha isha msimu wa kuota huwa namwagilia endapo ntaona udongo umekauka sabab maji yakizidi nyanya huanza pasuka lakini kwa maelezo ya mtaalam alisema niwe namwagilia mara moja kwa siku

Mbegu ya nyanya nnayotumia ni anna f1 inayokua kwa miezi 3 na kuvunwa miezi 6 jumla huchukua miezi 9 hadi kukauka

Niende kwenye jibu sasa
Endapo nkifuata utalatibu wa kitaalamu wa kumwagilia mara moja kila siku msimu wa mavuno
2000*2*90=litres 360000 msimu wa kuota miezi 3
2000*1*180=litres360000msimu wa kuvuna miezi 6
(litres*awamu za kumwagilia kwa siku*siku)=litres

Jumla inatumia 720000 litres hadi unamaliza kitaalamu
Lakini icho kiasi ni kikubwa sana hata mi sikufikisha kwani nlikua namwagilia pale tuu ntapoona udongo mkavu

JIBU
Nlilima matuta6 yenye urefu m 28
6*28=168metres urefu

Upana ulikua futi moja ambayo ni kama 0.3metres
0.3*168=50.4meter square jumla ya eneo lote nlilolima

720000/50.4=14284.7litres per square
Uki round up ni kama 14000

Hivyo nlitumia litres 14000 kwa mita moja ya mraba

NOTE(IKUMBUKWE KUWA)
nyanya nliolima inatumia maji mengi sana kwani huzaa kwa wingi kwa watalamu nadhani mnaijua

Nyanya hii hukaa miezi 9 sio kama zile nyingine zile za 3 months

Huu ni ushauri wa kitaalamu nliopewa ingawa hizo lita hata mi sku fikisha

Msimu nliofanya ni kiangazi

Nyanya nyingi ziliasiliwa na fungus waliotokana na wingi wa maji kwenye udongo na kutofikisha mieZi tisa ila zote zilivuka miezi 6

Natumaini umenielewa
 
Habari zenu wakuu.wale wote Wanaopenda kilimo cha umwagiliaji hasa cha kutumia drip line system.katika kilimo cha mazao ya Muda mfupi Karibuni Sana hapa.kama una wazo la kutuelimisha zaidi kwa tusivyo vijua, unataka tujiunge ili kufanya iyo kazi au ukitaka kikundi kilicho tayari ujiunge Karibuni Sana.
Jamani dhumuni la hii kitu pia ni kujalibu kuona mtu anatengeneza kipato nje ya Ajira au kazi yake ya kawaida. Nina network ya maeneo Nina wataalam Nina wazo na ujuzi wa kusimamia wazo,ila tatizo ni moja tu huwezi utafanya jambo kubwa Ukiwa pekeyako au na ndugu zako. Na wazo langu ni kwenye kilimo kinacho weza kuingizia hata million hamsini hadi Mia mfano.kilimo cha mboga mboga kisicho tumia kemikali kwa hekari moja kinaweza kukupa milioni arobaini na kuendelea kwa msimu wa miezi sita tuu. Na uzuri wa kilimo hata Kama hauna ardhi inaweza kukodiwa kwa ukubwa wooote ule na kwa bei ndogo ya elfu 40 kwa hekari
 
Mnaonaje tukaanzisha kundi lakilimo tuu na tuone tunawezaje kufika malengo tuliyo jiwekea
 
Wazo zuri labda kwa kuanzia . wadau wa uzi huu wazungushe gurudumu
 
Hua ninalima matuta 6 yenye ulefu wa mita 28 kila moja tuta.kila tuta lina upana wa futi moja juu na mwinuko wa nusu futi au zaidi kutoka chini. Pia katika upana wa futi moja naweka miche miwili sambamba na kupitisha drip mbili kwa kila tuta toka mwanzo hadi mwisho wa tuta.

Nimeweka tank la maji la lita 2000 ambalo msimu wa kukua nyanya(miezi mitatu) huwa namwagilia mara mbili kwa siku(kufungulia bomba kwenye tank msimu wa jua ili kumwagilia ) ikisha isha msimu wa kuota huwa namwagilia endapo ntaona udongo umekauka sabab maji yakizidi nyanya huanza pasuka lakini kwa maelezo ya mtaalam alisema niwe namwagilia mara moja kwa siku

Mbegu ya nyanya nnayotumia ni anna f1 inayokua kwa miezi 3 na kuvunwa miezi 6 jumla huchukua miezi 9 hadi kukauka

Niende kwenye jibu sasa
Endapo nkifuata utalatibu wa kitaalamu wa kumwagilia mara moja kila siku msimu wa mavuno
2000*2*90=litres 360000 msimu wa kuota miezi 3
2000*1*180=litres360000msimu wa kuvuna miezi 6
(litres*awamu za kumwagilia kwa siku*siku)=litres

Jumla inatumia 720000 litres hadi unamaliza kitaalamu
Lakini icho kiasi ni kikubwa sana hata mi sikufikisha kwani nlikua namwagilia pale tuu ntapoona udongo mkavu

JIBU
Nlilima matuta6 yenye urefu m 28
6*28=168metres urefu

Upana ulikua futi moja ambayo ni kama 0.3metres
0.3*168=50.4meter square jumla ya eneo lote nlilolima

720000/50.4=14284.7litres per square
Uki round up ni kama 14000

Hivyo nlitumia litres 14000 kwa mita moja ya mraba

NOTE(IKUMBUKWE KUWA)
nyanya nliolima inatumia maji mengi sana kwani huzaa kwa wingi kwa watalamu nadhani mnaijua

Nyanya hii hukaa miezi 9 sio kama zile nyingine zile za 3 months

Huu ni ushauri wa kitaalamu nliopewa ingawa hizo lita hata mi sku fikisha

Msimu nliofanya ni kiangazi

Nyanya nyingi ziliasiliwa na fungus waliotokana na wingi wa maji kwenye udongo na kutofikisha mieZi tisa ila zote zilivuka miezi 6

Natumaini umenielewa
Na kwenye square metre moja unapanda mimea mingapi
 
Nimewahi lima pilipili mbuzi na pilipili hoho ingawa sikufanikiwa sana sasa hivi najipanga kulima mahindi mabichi nasubiria hizi mvua zipite
 
Hua ninalima matuta 6 yenye ulefu wa mita 28 kila moja tuta.kila tuta lina upana wa futi moja juu na mwinuko wa nusu futi au zaidi kutoka chini. Pia katika upana wa futi moja naweka miche miwili sambamba na kupitisha drip mbili kwa kila tuta toka mwanzo hadi mwisho wa tuta.

Nimeweka tank la maji la lita 2000 ambalo msimu wa kukua nyanya(miezi mitatu) huwa namwagilia mara mbili kwa siku(kufungulia bomba kwenye tank msimu wa jua ili kumwagilia ) ikisha isha msimu wa kuota huwa namwagilia endapo ntaona udongo umekauka sabab maji yakizidi nyanya huanza pasuka lakini kwa maelezo ya mtaalam alisema niwe namwagilia mara moja kwa siku

Mbegu ya nyanya nnayotumia ni anna f1 inayokua kwa miezi 3 na kuvunwa miezi 6 jumla huchukua miezi 9 hadi kukauka

Niende kwenye jibu sasa
Endapo nkifuata utalatibu wa kitaalamu wa kumwagilia mara moja kila siku msimu wa mavuno
2000*2*90=litres 360000 msimu wa kuota miezi 3
2000*1*180=litres360000msimu wa kuvuna miezi 6
(litres*awamu za kumwagilia kwa siku*siku)=litres

Jumla inatumia 720000 litres hadi unamaliza kitaalamu
Lakini icho kiasi ni kikubwa sana hata mi sikufikisha kwani nlikua namwagilia pale tuu ntapoona udongo mkavu

JIBU
Nlilima matuta6 yenye urefu m 28
6*28=168metres urefu

Upana ulikua futi moja ambayo ni kama 0.3metres
0.3*168=50.4meter square jumla ya eneo lote nlilolima

720000/50.4=14284.7litres per square
Uki round up ni kama 14000

Hivyo nlitumia litres 14000 kwa mita moja ya mraba

NOTE(IKUMBUKWE KUWA)
nyanya nliolima inatumia maji mengi sana kwani huzaa kwa wingi kwa watalamu nadhani mnaijua

Nyanya hii hukaa miezi 9 sio kama zile nyingine zile za 3 months

Huu ni ushauri wa kitaalamu nliopewa ingawa hizo lita hata mi sku fikisha

Msimu nliofanya ni kiangazi

Nyanya nyingi ziliasiliwa na fungus waliotokana na wingi wa maji kwenye udongo na kutofikisha mieZi tisa ila zote zilivuka miezi 6

Natumaini umenielewa
Vipi kuhusu Mbegu ya nyanya ....Rio grande Safari....Je ni nzuri..?..Na inachukua muda gani..?...kudumu kwa mavuno..???
 
Mkuu abelexpeditor, hiko kilimo kinachoweza kuingiza m40+ kwa eka ni cha zao gani?
 
Nimeagiza mbegu za mapapai ya kisasa natagemea kuanza kulima hivi karibuni. nitaotesha miche kama 300 hivi naomba kujua kufunga hiyo drip system itagharimu kiasi gani. niko dsm
Mkuu nenda Balton katoe maelezo yako utapata ushauri wa kutosha.
 
Back
Top Bottom