Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Habari wadau,
Aisee wakuu, kuna watu wanapenda kula kula yani utakuta ratiba yake ya siku ameshakula makorokoro kibao.
Utakuta asubuhi saa 1 kanywa chai na kiporo , alafu ikifika saa 4 anakunywa supu na chapati 2, ikifika saa 5 anakula sambusa 2 na soda.
Ikifika mchana saa 8 anakula ugali na samaki na juice, ikifika saa 8 anakula karanga au keki ikifika saa 10 akikutana na muhindi anakula.
Usiku anakula tena lisahani la wali na nyama na juice.
Wadau nini chanzo cha kulakula kila saa? Ni ulafi au?
Aisee wakuu, kuna watu wanapenda kula kula yani utakuta ratiba yake ya siku ameshakula makorokoro kibao.
Utakuta asubuhi saa 1 kanywa chai na kiporo , alafu ikifika saa 4 anakunywa supu na chapati 2, ikifika saa 5 anakula sambusa 2 na soda.
Ikifika mchana saa 8 anakula ugali na samaki na juice, ikifika saa 8 anakula karanga au keki ikifika saa 10 akikutana na muhindi anakula.
Usiku anakula tena lisahani la wali na nyama na juice.
Wadau nini chanzo cha kulakula kila saa? Ni ulafi au?