Wanaopenda kupungua tuonane

Wanaopenda kupungua tuonane

MDANGANYIKAJI

Member
Joined
Jan 27, 2011
Posts
77
Reaction score
59
Kuongezeka uzito wa mwili imekuwa ni tatizo kubwa linalokabili jamii. Nimeonelea kuunda group whatsapp ambalo tutakuwa tunajadili na kupeana motivational na tips mbalimbali za kupungua. Na mm pia nitashare na nyinyi tips zilizonipunguza bila kutumia dawa.
Kwa watakaopenda kuungana na hili group waniinbox no zao, ili niadd
 
Back
Top Bottom