Mabibi na Mabwana mtu kuutaka Urais ni kwa sababu ana agenda. Ana agenda ya kufanya. Hiyo ndiyo tunapaswa kuisikia na hiyo ndiyo anayopaswa kutushawishi nayo.
Mtu anapewa vipi mamlaka na kisha kujinasibu kuwa hakutaka, hakujua, hakupanga wala hakutegemea?
Tunamchagua vipi mtu huyu? Anatushawishi au kutuvutia vipi huyu? Atatufaa vipi na kwa lipi?
"No wonder" tuko hapa tulipo. Tutabakia hapa hapa kama hatutaamka na kufanya maamuzi magumu ikibidi.
Kwa mustakabala wa nchi yetu tuna mkuluro wa mambo ya kuyakataa kwani huo ni wetu na uko mikononi mwetu:
1. Tukatae mazingira yoyote ya kutofuata katiba.
2. Tukatae mazingira yoyote ya chaguzi kuhujumiwa.
3. Tukatae chaguzi kutokuendeshwa katika mazingira yasiyokuwa huru, haki wala kuaminika.
4. Tukatae matamko ya watu kuwa ndiyo Sheria au katiba ya nchi.
5. Tukatae mamlaka kutolewa kwa ridhaa ya mtu badala ya ridhaa ya wapiga kura.
6. Tukatae wagombea kuenguliwa kwa sababu za kubumba bumba zisizokuwa na mashiko yoyote ya kikatiba.
7. Tukatae vyombo vya dola kuwa vyombo kandamizi.
8. Tukatae nk. nk.
Yapo mengi ya kukataa kabla hatujachelewa. Vinginevyo tunaweza kuta mkuu kabisa na uGIP nao kajimilikisha.
Mtu anapewa vipi mamlaka na kisha kujinasibu kuwa hakutaka, hakujua, hakupanga wala hakutegemea?
Tunamchagua vipi mtu huyu? Anatushawishi au kutuvutia vipi huyu? Atatufaa vipi na kwa lipi?
"No wonder" tuko hapa tulipo. Tutabakia hapa hapa kama hatutaamka na kufanya maamuzi magumu ikibidi.
Kwa mustakabala wa nchi yetu tuna mkuluro wa mambo ya kuyakataa kwani huo ni wetu na uko mikononi mwetu:
1. Tukatae mazingira yoyote ya kutofuata katiba.
2. Tukatae mazingira yoyote ya chaguzi kuhujumiwa.
3. Tukatae chaguzi kutokuendeshwa katika mazingira yasiyokuwa huru, haki wala kuaminika.
4. Tukatae matamko ya watu kuwa ndiyo Sheria au katiba ya nchi.
5. Tukatae mamlaka kutolewa kwa ridhaa ya mtu badala ya ridhaa ya wapiga kura.
6. Tukatae wagombea kuenguliwa kwa sababu za kubumba bumba zisizokuwa na mashiko yoyote ya kikatiba.
7. Tukatae vyombo vya dola kuwa vyombo kandamizi.
8. Tukatae nk. nk.
Yapo mengi ya kukataa kabla hatujachelewa. Vinginevyo tunaweza kuta mkuu kabisa na uGIP nao kajimilikisha.