Wanaopewa madaraka bila kupanga kuyataka hawana agenda

Wanaopewa madaraka bila kupanga kuyataka hawana agenda

Mfan

Mfano Tundu Lissu alikuwa na Ajenda gani au ni ile ya kutetea haki za mashoga na kuamdamana

Kama ndiyo umewasili leo tokea Mars, Lissu alikuwa akitetea mambo 3:

1. Haki
2. Uhuru
3. Maendeleo

Kila moja katika hayo matatu mtu anaweza kuandika kitabu kizima kisichopungua kurasa 1,000.

Inafahamika upeo wa kuelewa na kudadavua mambo hatuwezi kulingana. Ndiyo maana kuna aliyesema yeye anajua:

2+2=4 na 2+2=5-1 tu!
 
Ni kawaida kwa mazezeta kumnukuu mwalimu (rip) out of context ku justify upuuzi wao bila kujali degree.

Nyerere (rip) brilliant kama alivyokuwa angekuwa wa kwanza kuyakataa yote haya kama yalivoorodheshwa kwenye mada.

Mwalimu alikuwa mtu wa kushindanisha hoja. Mkimbia mdahalo asingeiona ikulu. Mkanyaga katiba angeisikia ikulu kwenye Bomba.

Bahati yao mwalimu hayupo.

Ama kweli, kufa kufaana!
Hata angekuwepo angefanya nn Hali ni mstaafu na mfumo umemtupa,jiwe ajaribiwi ligi na bifu pale ni kiwandani
 
Back
Top Bottom