Ni kawaida kwa mazezeta kumnukuu mwalimu (rip) out of context ku justify upuuzi wao bila kujali degree.
Nyerere (rip) brilliant kama alivyokuwa angekuwa wa kwanza kuyakataa yote haya kama yalivoorodheshwa kwenye mada.
Mwalimu alikuwa mtu wa kushindanisha hoja. Mkimbia mdahalo asingeiona ikulu. Mkanyaga katiba angeisikia ikulu kwenye Bomba.
Bahati yao mwalimu hayupo.
Ama kweli, kufa kufaana!