Wanaopewa madaraka bila kupanga kuyataka hawana agenda

Mfan

Mfano Tundu Lissu alikuwa na Ajenda gani au ni ile ya kutetea haki za mashoga na kuamdamana

Kama ndiyo umewasili leo tokea Mars, Lissu alikuwa akitetea mambo 3:

1. Haki
2. Uhuru
3. Maendeleo

Kila moja katika hayo matatu mtu anaweza kuandika kitabu kizima kisichopungua kurasa 1,000.

Inafahamika upeo wa kuelewa na kudadavua mambo hatuwezi kulingana. Ndiyo maana kuna aliyesema yeye anajua:

2+2=4 na 2+2=5-1 tu!
 
Hata angekuwepo angefanya nn Hali ni mstaafu na mfumo umemtupa,jiwe ajaribiwi ligi na bifu pale ni kiwandani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…