Wanaopiga kampeni ya “Kataa Ndoa” waonywa!

Wanaopiga kampeni ya “Kataa Ndoa” waonywa!

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,679
Reaction score
2,123
Mfalme amesema: “Anayeonywa mara nyingi akawa mkaidi, ataangamia ghafla asipone tena.”

Naongea na wewe, unayepiga kampeni ili kuwafanya watu wakatae ndoa. Pole sana kwa changamoto ulizokutana nazo, zilizokusababishia “ugonjwa” wa kupiga kelele usiku na mchana: “kataa ndoa, kataa ndoa.” Unapiga kelele weee watu wakatae ndoa, lakini kila wiki unasikia ndoa zinafungwa zikiambatana na sherehe “babu kubwa.”

Katika kampeni yako unadai ndoa ni mzigo wa mateso na matatizo. Unawaambia watu waikatae ndoa eti wajiepushe na maumivu ya ndoa. Kinachoshangaza ni kwamba hukatai uzinzi na uasherati - mambo yenye athari mbaya zaidi kwako. Afadhali uteseke katika ndoa halafu mwisho wa siku uingie mbinguni kwenye raha ya milele, kuliko kukumbatia uzinzi ambao tayari hukumu yake imeishatolewa: kutupwa katika ziwa liwakalo moto milele.

Ngoja nikufumbue macho, wewe mwanaume, mkuu wa kampeni hiyo batili. Ulipoingia kwenye ndoa ulifikiri mwanamke hana ubongo. Ulifikiri mwanamke hana macho na masikio. Ulifikiri mwanamke hana miguu na mikono. Hujasoma kitabu cha Mwanzo? Mwanamke ameumbwa kutokana na ubavu wa mwanaume. Hivyo anafanana na wewe katika mambo mengi. Ndio sababu ulipomuoa yule mwanamke kisha ukaanza kumpiga na kumtukana, ukifikiri ndio unamnyamazisha, yeye naye alijibu mapigo. Ulipopaza sauti yako kumtukana, yeye naye alifumbua kinywa, akakutusi tena mbele ya majirani. Ulipofikiria kumuacha, kwakuwa yeye naye ana ubongo, akakuwahi mahakamani, talaka akakupa wewe badala ya wewe kumpa; na akadai mali mgawane.

Ndugu yangu, kwakuwa nakupenda, na kwakuwa najua hiyo njia mbadala uliyochagua inakupeleka pabaya, ntakupa “dawa” unywe, utapona ugonjwa wako. Ukiinywa sawasawa, naamini siku moja utaomba kumrudia huyo mkeo uliyemuacha.

Dawa yangu ni hii: Ukiona ndoa ina changamoto, suluhisho sio kuikataa, bali ni kujifunza jinsi ya kutatua changamoto husika. Elimu ni bahari. Ili mtu ajue jinsi ya kuishi na mke anahitaji kwenda shule. Anahitaji kuhudhuria semina na warsha na makongamano yanayotoa elimu ya ndoa. Kwa maneno rahisi, ili ndoa idumu kuwa ya raha, amani na upendo, ni lazima wanandoa wawe na maarifa sahihi ya namna ya kuishi pamoja kwa maelewano. Hiyo ndo dawa.

Namshukuru Mungu, nina uzoefu na elimu inayoweza kuwasaidia watu wafurahie ndoa kama mimi. Niulize maswali ya ndoa uliyokosa majibu yake, ntajitajidi kukujibu.

Nakuonya tena: usikatae ndoa na pia acha kabisa kampeni yako batili, inayomchukiza Mungu. Mungu amesema “Ndoa iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi(Waebrania 13:4). Ukikataa onyo hilo ukaendelea na uzinzi na uasherati, moto wa jehanum unakusubiri. Kama hutaki ndoa, afadhali ukae hivyohivyo ulivyo bila kumgusa mwanamke.

1 Wakorintho 6:9-10 BHN
"Au je, hamjui kwamba watu wabaya hawataurithi ufalme wa Mungu? Msijidanganye! Watu wanaoishi maisha ya uasherati, wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti, wezi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyanganyi, hao wote hawatashiriki ufalme wa Mungu."
 
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA MKATABA WA KITAPELI
th (8) (1).jpeg
 
Ngoja tumalizie kikao.. tunakuja kwa kasi ile ile.....

Kuna mmoja nimeona Uzi wake akilia na kusaga meno:

 
Madam, kazi za kufanya mbona zipo nyingi tu, sio lazima uolewe. Wanawake amkeni ajira zipo kibao siku hizi.
Mfalme amesema: “Anayeonywa mara nyingi akawa mkaidi, ataangamia ghafla asipone tena.”

Naongea na wewe, unayepiga kampeni ili kuwafanya watu wakatae ndoa. Pole sana kwa changamoto ulizokutana nazo, zilizokusababishia “ugonjwa” wa kupiga kelele usiku na mchana: “kataa ndoa, kataa ndoa.” Unapiga kelele weee watu wakatae ndoa, lakini kila wiki unasikia ndoa zinafungwa zikiambatana na sherehe “babu kubwa.”

Katika kampeni yako unadai ndoa ni mzigo wa mateso na matatizo. Unawaambia watu waikatae ndoa eti wajiepushe na maumivu ya ndoa. Kinachoshangaza ni kwamba hukatai uzinzi na uasherati - mambo yenye athari mbaya zaidi kwako. Afadhali uteseke katika ndoa halafu mwisho wa siku uingie mbinguni kwenye raha ya milele, kuliko kukumbatia uzinzi ambao tayari hukumu yake imeishatolewa: kutupwa katika ziwa liwakalo moto milele.

Ngoja nikufumbue macho, wewe mwanaume, mkuu wa kampeni hiyo batili. Ulipoingia kwenye ndoa ulifikiri mwanamke hana ubongo. Ulifikiri mwanamke hana macho na masikio. Ulifikiri mwanamke hana miguu na mikono. Hujasoma kitabu cha Mwanzo? Mwanamke ameumbwa kutokana na ubavu wa mwanaume. Hivyo anafanana na wewe katika mambo mengi. Ndio sababu ulipomuoa yule mwanamke kisha ukaanza kumpiga na kumtukana, ukifikiri ndio unamnyamazisha, yeye naye alijibu mapigo. Ulipopaza sauti yako kumtukana, yeye naye alifumbua kinywa, akakutusi tena mbele ya majirani. Ulipofikiria kumuacha, kwakuwa yeye naye ana ubongo, akakuwahi mahakamani, talaka akakupa wewe badala ya wewe kumpa; na akadai mali mgawane.

Ndugu yangu, kwakuwa nakupenda, na kwakuwa najua hiyo njia mbadala uliyochagua inakupeleka pabaya, ntakupa “dawa” unywe, utapona ugonjwa wako. Ukiinywa sawasawa, naamini siku moja utaomba kumrudia huyo mkeo uliyemuacha.

Dawa yangu ni hii: Ukiona ndoa ina changamoto, suluhisho sio kuikataa, bali ni kujifunza jinsi ya kutatua changamoto husika. Elimu ni bahari. Ili mtu ajue jinsi ya kuishi na mke anahitaji kwenda shule. Anahitaji kuhudhuria semina na warsha na makongamano yanayotoa elimu ya ndoa. Kwa maneno rahisi, ili ndoa idumu kuwa ya raha, amani na upendo, ni lazima wanandoa wawe na maarifa sahihi ya namna ya kuishi pamoja kwa maelewano. Hiyo ndo dawa.

Namshukuru Mungu, nina uzoefu na elimu inayoweza kuwasaidia watu wafurahie ndoa kama mimi. Niulize maswali ya ndoa uliyokosa majibu yake, ntajitajidi kukujibu.

Nakuonya tena: usikatae ndoa na pia acha kabisa kampeni yako batili, inayomchukiza Mungu. Mungu amesema “Ndoa iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi(Waebrania 13:4). Ukikataa onyo hilo ukaendelea na uzinzi na uasherati, moto wa jehanum unakusubiri. Kama hutaki ndoa, afadhali ukae hivyohivyo ulivyo bila kumgusa mwanamke.

1 Wakorintho 6:9-10 BHN
"Au je, hamjui kwamba watu wabaya hawataurithi ufalme wa Mungu? Msijidanganye! Watu wanaoishi maisha ya uasherati, wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti, wezi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyanganyi, hao wote hawatashiriki ufalme wa Mungu."
 
Sijambo mada ila nimesikitika sana
Mimi namsikitikia zaidi huyu mkuu wa kampeni batili. Anayejaribu kuwatoa watu kwenye mpango wa Mungu na kuwaingiza kwenye mpango wa shetani. Namsikitikia kwa sababu anajipeleka mwenyewe motoni.
 
Ndoa ni taasisi .... Ndoa ni Mfumo!

Ndoa ni Mfumo ambao Mungu aliutengeneza kwa lengo la kuitumia iwe kama njia ya yeye kuitumia ili kumiliki na kiutawala Dunia kwa UFALME wake.

Adui alitumia Mfumo wa ndoa kuwanyang'anya Adam na Hawa uhalali au mamlaka ya kumiliki na kutawala.

Kama mtu hajui kusudi la ndoa
Kama mtu hajui kusudi la yeye kuingia kwenye ndoa

Kama mtu hajui kwa namna Gani ndoa yake inaweza kutumika kufanya UFALME wa MUNGu kutawala Dunia

Mtu huyo Hana budi kujikataa ndoa.

By the way kuto kuoa au kuolewa hakumfanyia mtu kuukosa unyakuo.

KATAA ndoa Wana hoja ila hajui huziwasilisha wamekuwa too negative
 
Asilimia karibia 90 ya walio oa na wana miaka zaidi ya 5 ya ndoa ukiwauliza kama wakirudi miaka 5 nyuma wanaweza kurudia kuoa?? Watakujibu hapana, wengi wamebaki kuishi kwenye maisha ya ndoa kinafiki kisingizio ni ‘watoto’. Upuuzi wa namna gani hii?? Niishi maisha yangu yaliyobakia bila amani ya moyo na utulivu wa nafsi kisa watoto?!!! Hell No
 
Mfalme amesema: “Anayeonywa mara nyingi akawa mkaidi, ataangamia ghafla asipone tena.”

Naongea na wewe, unayepiga kampeni ili kuwafanya watu wakatae ndoa. Pole sana kwa changamoto ulizokutana nazo, zilizokusababishia “ugonjwa” wa kupiga kelele usiku na mchana: “kataa ndoa, kataa ndoa.” Unapiga kelele weee watu wakatae ndoa, lakini kila wiki unasikia ndoa zinafungwa zikiambatana na sherehe “babu kubwa.”

Katika kampeni yako unadai ndoa ni mzigo wa mateso na matatizo. Unawaambia watu waikatae ndoa eti wajiepushe na maumivu ya ndoa. Kinachoshangaza ni kwamba hukatai uzinzi na uasherati - mambo yenye athari mbaya zaidi kwako. Afadhali uteseke katika ndoa halafu mwisho wa siku uingie mbinguni kwenye raha ya milele, kuliko kukumbatia uzinzi ambao tayari hukumu yake imeishatolewa: kutupwa katika ziwa liwakalo moto milele.

Ngoja nikufumbue macho, wewe mwanaume, mkuu wa kampeni hiyo batili. Ulipoingia kwenye ndoa ulifikiri mwanamke hana ubongo. Ulifikiri mwanamke hana macho na masikio. Ulifikiri mwanamke hana miguu na mikono. Hujasoma kitabu cha Mwanzo? Mwanamke ameumbwa kutokana na ubavu wa mwanaume. Hivyo anafanana na wewe katika mambo mengi. Ndio sababu ulipomuoa yule mwanamke kisha ukaanza kumpiga na kumtukana, ukifikiri ndio unamnyamazisha, yeye naye alijibu mapigo. Ulipopaza sauti yako kumtukana, yeye naye alifumbua kinywa, akakutusi tena mbele ya majirani. Ulipofikiria kumuacha, kwakuwa yeye naye ana ubongo, akakuwahi mahakamani, talaka akakupa wewe badala ya wewe kumpa; na akadai mali mgawane.

Ndugu yangu, kwakuwa nakupenda, na kwakuwa najua hiyo njia mbadala uliyochagua inakupeleka pabaya, ntakupa “dawa” unywe, utapona ugonjwa wako. Ukiinywa sawasawa, naamini siku moja utaomba kumrudia huyo mkeo uliyemuacha.

Dawa yangu ni hii: Ukiona ndoa ina changamoto, suluhisho sio kuikataa, bali ni kujifunza jinsi ya kutatua changamoto husika. Elimu ni bahari. Ili mtu ajue jinsi ya kuishi na mke anahitaji kwenda shule. Anahitaji kuhudhuria semina na warsha na makongamano yanayotoa elimu ya ndoa. Kwa maneno rahisi, ili ndoa idumu kuwa ya raha, amani na upendo, ni lazima wanandoa wawe na maarifa sahihi ya namna ya kuishi pamoja kwa maelewano. Hiyo ndo dawa.

Namshukuru Mungu, nina uzoefu na elimu inayoweza kuwasaidia watu wafurahie ndoa kama mimi. Niulize maswali ya ndoa uliyokosa majibu yake, ntajitajidi kukujibu.

Nakuonya tena: usikatae ndoa na pia acha kabisa kampeni yako batili, inayomchukiza Mungu. Mungu amesema “Ndoa iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi(Waebrania 13:4). Ukikataa onyo hilo ukaendelea na uzinzi na uasherati, moto wa jehanum unakusubiri. Kama hutaki ndoa, afadhali ukae hivyohivyo ulivyo bila kumgusa mwanamke.

1 Wakorintho 6:9-10 BHN
"Au je, hamjui kwamba watu wabaya hawataurithi ufalme wa Mungu? Msijidanganye! Watu wanaoishi maisha ya uasherati, wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti, wezi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyanganyi, hao wote hawatashiriki ufalme wa Mungu."
Sasa hivi nina alcohol nyingi sana kichwani. Nikiamka kesho asubuhi nitaisoma vizuri thread yako. Mimi kama kaka yako nitakuelekeza vizuri wapi ulipokosea
 
Sasa hivi nina alcohol nyingi sana kichwani. Nikiamka kesho asubuhi nitaisoma vizuri thread yako. Mimi kama kaka yako nitakuelekeza vizuri wapi ulipokosea
Yamkini hata aliyeanzisha hiyo kampeni isiyo na mashiko alikuwa na alcohol nyingi kichwani. Naona siri zinafichuka
 
What kind of rubbish talk is this...
Are you insinuating that my discourse is devoid of merit? If so, upon what intellectual or doctrinal foundation do you predicate such a denunciation? This subject pertains to an intricate moral and theological axiom—thus, I am most intrigued to fathom the profundity of your rationale.
 
Back
Top Bottom