Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andiko unalosimamia ni 1 Wakorintho 7:1-9. Hilo halikatazi kuoa'Ni heri Mwanaume asimguse mwanamke ila kwa sababu ya uzinzi tunashauriwa kuoa". Kama Bible yenyewe inakataa kuoa mm nani????
Even rubbish serves a purpose—waste can nourish the soil, and discarded things can find new value. Likewise, meaningful discussions flourish through reasoned arguments, not mere dismissal. Thoughtful discourse requires substance, not contempt.Rubbish talk.
Katika kizazi tulichopo ndoa ni concept ambayo tayari imeshapitwa na wakati. Muundo wa ndoa ulisukwa kwenda sambamba na mfumo dume, katika zama hizi za usawa wa kijinsia lazima taasisi ya ndoa itaanguka tu kwa sababu misingi yake haikuwekwa kwenda sambamba na haya mambo ya 50/50 na feminism.Bado tu alcohol haijaisha kichwani. Nasubiri kusikia hoja zako
Inafahamika, kataa ndoa ni kundi la wanaume waliopoteza marinda na kubaki na kamba. Tuwahurumie tu, wamevurugwa na kupotezwa mwelekeo. Mbaya zaidi hawana maisha marefu kwa sababu ya kusononeka kila mara baada ya matundu yao kuharibika na kupoteza wateja. Pole yenu kundi la kataa ndoa.Asilimia karibia 90 ya walio oa na wana miaka zaidi ya 5 ya ndoa ukiwauliza kama wakirudi miaka 5 nyuma wanaweza kurudia kuoa?? Watakujibu hapana, wengi wamebaki kuishi kwenye maisha ya ndoa kinafiki kisingizio ni ‘watoto’. Upuuzi wa namna gani hii?? Niishi maisha yangu yaliyobakia bila amani ya moyo na utulivu wa nafsi kisa watoto?!!! Hell No
Wakati watu wakiingia msalani wanaacha kinyesi chooni wewe ukiingia msalani unaacha akili unatoka na kinyesi kichwani, Pole.Inafahamika, kataa ndoa ni kundi la wanaume waliopoteza marinda na kubaki na kamba. Tuwahurumie tu, wamevurugwa na kupotezwa mwelekeo. Mbaya zaidi hawana maisha marefu kwa sababu ya kusononeka kila mara baada ya matundu yao kuharibika na kupoteza wateja. Pole yenu kundi la kataa ndoa.
Kwetu sisi tunaoamini Neno la Mungu, suala la ndoa halijapitwa na wakati. Bado tunakiri kama Maandiko yanenavyo kuwa ndoa na iheshimiwe. Bado tunatambua kuwa mwanaume ni kichwa cha mke. Na bado tunatambua kuwa Mungu anachukia kuachana(talaka). Hivyo hatuungi mkono kampeni za kukataa ndoa.Katika kizazi tulichopo ndoa ni concept ambayo tayari imeshapitwa na wakati. Muundo wa ndoa ulisukwa kwenda sambamba na mfumo dume, katika zama hizi za usawa wa kijinsia lazima taasisi ya ndoa itaanguka tu kwa sababu misingi yake haikuwekwa kwenda sambamba na haya mambo ya 50/50 na feminism.
Hoja yako ungeiweka katika mlengo wa dini yako ungeeleweka zaidi yaani kama wewe ni mkatoliki walenge wakatoliki wenzako kwa sababu sio kila mtu anafuata au kuamini dini yako. Tanzania sio nchi ya kidini.Kwetu sisi tunaoamini Neno la Mungu, suala la ndoa halijapitwa na wakati. Bado tunakiri kama Maandiko yanenavyo kuwa ndoa na iheshimiwe. Bado tunatambua kuwa mwanaume ni kichwa cha mke. Na bado tunatambua kuwa Mungu anachukia kuachana(talaka). Hivyo hatuungi mkono kampeni za kukataa ndoa.
Ndipo tunapoelekea. Chat ya ndoa inazidi kushuka chini. Sasa hivi ni kawaida sana kukuta kijana 30's hajaoa wakati kwenye jamii ya zamani iyo ilikua serious issue.Kama concept ya ndoa imepitwa na wakati, kwanini ziwepo kelele za kuwaambia watu wakatae ndoa? Mambo ya ndoa si yangekufa tu yenyewe?
Again, hatuatweza kufika muafaka wa ilo suala kama ume-base kwenye dini kwa sababu watu wana imani tofauti. Ili twende sambamba ni vyema tukaleta hoja za kijamii zaidi sio za kidiniMimi natambua Ibilisi yuko nyuma ya kampeni hii kwa sababu watu wakikataa ndoa ndio uzinzi utaongezeka zaidi, maana wanaokataa ndoa hawakai hivyo hivyo walivyo, bado wanatafuta wanawake. Na uzinzi ukiongezeka, shetani anafurahi kwa sababu anakuwa amepata watu wa kwenda naye katika adhabu ya moto wa milele.
Aaaiiseeee,,,,kumbe bado sikifahamu kiingereza aiseee!!!!!🙂↔️Are you insinuating that my discourse is devoid of merit? If so, upon what intellectual or doctrinal foundation do you predicate such a denunciation? This subject pertains to an intricate moral and theological axiom—thus, I am most intrigued to fathom the profundity of your rationale.
Ukimsoma vzr hapo Paulo anasema sababu kubwa ya kuoa ni kuzia tu matamanio nothing else. so hakuna dhambi ya kutooa au kutoolewa. plus wanawake ni wengi kuliko wanaume so big % ya wadada hawataolewa hata wasagae meno na washinde huko church....Na hakuna faida ya mwanaume kwenye ndoa so why uingie kwenye mkataba ambao hauna faida nao......All in all yote ya duniani ni mipango yake so kama alipanga utaoa au kuolewa then itatokea na kama akisema no ni no. kama afande sele alivyoimba sio lazima wote tuwe wasanii wengine wabaki tu kuwa washabiki. So sio kila mtu lazima aoe au aolewe ukiolewa wewe au ukioa wewe inatosha now shughulika na familia yako. Achana na maisha ya wengine. KILA.MTU ABAKI NA DHAMBI ZAKE. tutakutana huko Kwenye judgementAndiko unalosimamia ni 1 Wakorintho 7:1-9. Hilo halikatazi kuoa'
Hapo Paulo alikuwa anajibu maswali kutoka kwa Wakristo wa Korintho kuhusu ndoa na useja. Katika mstari wa kwanza, anasema:
“Ni vyema mtu asimguse mwanamke” (1 Kor 7:1)
Hii haimaanishi kuwa ndoa ni mbaya, bali Paulo alikuwa akizungumzia useja, yaani wanaoweza kukaa kama yeye wafanye hivyo kwa ajili ya kazi ya Mungu. Hata hivyo anaendelea kusema:
“Lakini kwa sababu ya zinaa, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.” (1 Kor 7:2)
Hii inaonyesha kuwa ndoa ndiyo suluhisho la tamaa za mwili. Ndoa ndiyo jambo linaloweza kumfanya mtu asianguke kwenye dhambi ya zinaa.
Katika mstari wa 7-9, Paulo anasema anatamani watu wote wawe kama yeye (yaani, waishi bila kuoa ili wawe huru kumtumikia Mungu). Lakini anakubali kuwa si kila mtu ana karama hiyo ya useja. Anaongeza:
“Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe, maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.” (1 Kor 7:9)
Sasa unapowaambia watu wakatae ndoa wakati hawawezi kujizuia kukaa bila kuwagusa wanawake, huoni kuwa unawaingiza kwenye uzinzi?
Kuna faida nyingi za kuoa zaidi ya hiyo. Usisahau Mungu aliwaambia Adam na Hawa wazae waijaze nchi. Wao wangekataa ndoa yao wewe leo ungekuwepo?Ukimsoma vzr hapo Paulo anasema sababu kubwa ya kuoa ni kuzia tu matamanio nothing else.