Wanaopinga kuungama dhambi kwa Padri, ndio wapinga Kristo wanaohubiriwa na wasabato na ndio wale wanaosoma maandiko kwa kurukaruka.

Padre > Father
Kuhani > Priest
Kwenye biblia hakuna neno Padre, na maana ya padre ni Father, kwenye biblia linamaana tofauti kabisa mfano sala ya wakatoliki ya Our Father,Who is in heaven..huwezi sema Padre wetu uliyembinguni....
Bado lugha inakushinda hii.. Unabisha ujinga tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasabato ni weupe kabisa hawajui chochote si historia si dini.. Ila wakumbuke hatujasahau uongo wao wa kusema yesu anafanya hukumu ya upelelezi sasa sijui anampeleleza nani wakati yeye anajua tulipotoka na tunapoenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu anza kuwalipua hawa wapiga ramli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaah sasa mkuu tupo kwenye uhalali wa mapadri kusamehe watu dhambi! Wewe unakimbilia kwa wasabato! Hii maada inawahusu hao wasabato?
Mkuu kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa mijadala ya mleta mada ni kwamba tumeanza kuchambua wapinga Kristo...(Wasabato na Waislam)

Tumeanza na Waislam na Hekaya za Muhamad na uongo wake....mada zinapamba moto huko..


Tulimaliza tutakuja na Kundi la Wapinga Kristo yaani Wasabato(SDA)....Tutazieleza hekaya na uongo wa mama aliyejiita Ellen Gould White..


Ni wewe kuwa karibu na JF


Ahsanta
 
Mkuu andaa kisu cha kula nyama....maana Wasabato dawa yao ipo jikoni inatokota
 
Nafikri tutumie kiyunani ndicho ambacho kwa asilimia nyingi biblia imetoka ktk maneno ya kiyunani
Sasa ubaya upo wapi kwa wanaotumia Kiebrania au Kilatini ..

Lugha kuu mbili za Biblia ni Kilatini, na Kigiriki...??
 

Well Said Kiongoz
 
Katubu kwa PADRE kwamba umedanya hapa jamii forums kwa kusema uongo! Kwa nini msamiati huu wa Padre msiuingize kwenye biblia wakati wa kufasiri
Bado lugha inakushinda hii.. Unabisha ujinga tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Heri yako wewe usiyemjinga,unayezijua lugha zote za ulimwengu! Japo unashindwa kutoa maana halisi ya Padre kibiblia!
Kwenye biblia kuna mitume ,manabii ,wainjilisti ,wachungaji na waalimu ambapo nyie hayo majina mnayapiga vita!
Mimi nilikua mkatoliki lakini sikuwa na amani na baadhi ya mafundisho yenu duni na dhaifu. Kwa sasa nina amani namtegemea YESU Kristo aliye Bwana na Mwokozi wangu, Siabudu dini wala itikadi za kidini.
Moja ya vitu amabavyo si kubaliani navyo ni:
1.Ibada za wafu et mt....flani utuombee?!
2.Kupewa kofi na askofu eti ndo paji la roho mtakatifu....lol!
3.Kusujudia sanamu au mtu, mfano kubusu na kuinamia pete za maaskofu...
4. Kuungama kwa binadamu eti unamwambia nimezini anakuuliza mara ngapi......duuu!
5.Mganga wa kienyeji kuwa katekista ....daaa!
6. Kufunga ndoa huku mtu ni mjamzito wa miezi kadhaa then anavaa shera/nguo nyeupe kama vile yuko bikra.
7.Kuhiji milimani na kubebeshwa misalaba na masanamu.
8.Kubariki misalaba makanisani inayoenda kupandwa kwenye makaburi ya wafu waliokufa siku nyingi...
9.Kukariri maombi na sala
10.Kuchanganya ushirikina na ukristo kwenu ruksa!
Hayo yote kibiblia ni machukuzo mbele za Mungu,achana na udini,itafute kweli nayo itakuweka huru!.Najua si rahisi kuukubali ukweli maana hata mimi nilikua mbishi na kutetea uongo lakini nashukuru Sana Mungu kwa neema sasa niko huru!
 
Walokole hawajui maandiko inashangaza mtu anakosoa neno kristu au kristo. Hili ni neno moja Tu yani kiebrania na kigiriki. Ni sawa walokole mnavyotamka mesiya na sisi wakatoliki masiha zt ni lugha Tu. Nawashauri sana walokole acheni kujiinua kujifanya nyie malaika wakti matendo yn tunayaona mtaani hamuishi vzr na jamii hata kdg. Mnapenda mungu mnamchukia kiumbe chake binadamu wakti yesu alisema mpende jirani yko km unavyojipenda mwenywe. Walokole ndgu zangu acheni kujikweza bila kanisa katoliki msingeipata biblia wengine mmesomeshwa na wakatoloki Leo mnalipiga mawe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu wakatoliki wanijuze kidogo ktk hali hii tunayoiona sasa ya papa kila anapoenda anashitakiwa mambo machafu yaliyofanywa na mapadri wa kanisa hilo na hasa kwa vijana wa kiume,wanapata wapi ujasiri wa kumweleza MTU mapungufu yao ilihali kuna uwazekano MTU Huyo ana makosa makubwa kuliko wewe unaetaka kusamehewa.Mifano mnayotoa ya wachungaji wa zamani inaweza ikawa sawa lakini hawa wa sasa kwenda kueleza mapungufu yako ni kujisanifu mwenyew tu, Yanayotokea ulaya na marekani hivi sasa ya vjana wa sasa na zamani badala ya kuungama dhambi zao wanaungama kudhalilishwa na mapadri in mambo yanayotokea hata afrika isipokuwa sisi tuna utii kwa viongozi wetu wa dini hadi tunatia kichefuchefu,mwishowe tun abaki kuwalaumu akina delicious nani sijui pasipo kujua huo ushoga walianza anzaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo umenena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubatizo huondoa dhambi na maungamo huondoa dhambi.Kwani hujawahi kujibatiza mwenyewe kwa maana si unajua maji ndiyo yanaondoa dhambi na unafahamu fika yanapatika kwenye mito na maziwa au baharini?
Wenye maneno mengi Mara zote huwa ni waongo. Maji hayaondoi dhambi,kubatizwa kwenye maji ni ishara tu ya kuzikwa utu wa kale na kuzaliwa upya, tangu mwanzo dhambi ilisafishwa kwa damu ya mwana kondoo kupitia kuhani,baadae damu ya Yesu ikamwagika pale msalabani kwa ajili ya Mimi na wewe, hivyo Damu ya Yesu yatosha kwa ondoleo la dhambi na hakuna mbadala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…