talibomtoto
Member
- Nov 15, 2017
- 43
- 18
Sio lazima uende kwa padri omba Mungu atakusikia maana Yeremia 33;3 niite nami nitakuitikia nitakuonyesha mambo magumu usiyoyajua. Hivy ukimuuomba mungu atakusikiaKwa hiyo nikitubu dhambi bila kwenda kwa padri siwezi kusamehewa?
Watu wengi wamekuwa watetezi wa madhehebu kiasi kwamba Mungu hana maana sana kwao. Wenye madhehebu yao wapo zao huko wakila kuku kwa mrija.. sisi tupo kwenye vumbi tukiparuana. Dini zote zimeungana na black pope ni bosi wa dini zote.Mkuu kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa mijadala ya mleta mada ni kwamba tumeanza kuchambua wapinga Kristo...(Wasabato na Waislam)
Tumeanza na Waislam na Hekaya za Muhamad na uongo wake....mada zinapamba moto huko..
Tulimaliza tutakuja na Kundi la Wapinga Kristo yaani Wasabato(SDA)....Tutazieleza hekaya na uongo wa mama aliyejiita Ellen Gould White..
Ni wewe kuwa karibu na JF
Ahsanta
Anaungama kwa nani?Hata Papa naye huungama dhambi
Sio lazima uende kwa padri omba Mungu atakusikia maana Yeremia 33;3 niite nami nitakuitikia nitakuonyesha mambo magumu usiyoyajua. Hivy ukimuuomba mungu atakusikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka unijibu bila padri siwezi kusamehewa?Kuna tofauti ya kuungama na kutubu..
Kuungama unataja zile unazozikumbuka.
Kutubu ni kukiri kuwa hutazitenda zile ulizotaja na zile usizozikumbuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa PadreAnaungama kwa nani?
Umeelewa nilichoandika au umewaruka kama ngedere pori ..???Watu wengi wamekuwa watetezi wa madhehebu kiasi kwamba Mungu hana maana sana kwao. Wenye madhehebu yao wapo zao huko wakila kuku kwa mrija.. sisi tupo kwenye vumbi tukiparuana. Dini zote zimeungana na black pope ni bosi wa dini zote.
Kwa Padri [emoji106]Je , Padre /Padri naye akitenda dhambi anakwenda kuungama kwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye maneno mengi Mara zote huwa ni waongo. Maji hayaondoi dhambi,kubatizwa kwenye maji ni ishara tu ya kuzikwa utu wa kale na kuzaliwa upya, tangu mwanzo dhambi ilisafishwa kwa damu ya mwana kondoo kupitia kuhani,baadae damu ya Yesu ikamwagika pale msalabani kwa ajili ya Mimi na wewe, hivyo Damu ya Yesu yatosha kwa ondoleo la dhambi na hakuna mbadala
Wenye maneno mengi Mara zote huwa ni waongo. Maji hayaondoi dhambi,kubatizwa kwenye maji ni ishara tu ya kuzikwa utu wa kale na kuzaliwa upya, tangu mwanzo dhambi ilisafishwa kwa damu ya mwana kondoo kupitia kuhani,baadae damu ya Yesu ikamwagika pale msalabani kwa ajili ya Mimi na wewe, hivyo Damu ya Yesu yatosha kwa ondoleo la dhambi na hakuna mbadala
Wenye maneno mengi Mara zote huwa ni waongo. Maji hayaondoi dhambi,kubatizwa kwenye maji ni ishara tu ya kuzikwa utu wa kale na kuzaliwa upya, tangu mwanzo dhambi ilisafishwa kwa damu ya mwana kondoo kupitia kuhani,baadae damu ya Yesu ikamwagika pale msalabani kwa ajili ya Mimi na wewe, hivyo Damu ya Yesu yatosha kwa ondoleo la dhambi na hakuna mbadala
Kuzikwa utu wa kale unaelewaje? Acha kukariri maneno. Nikikujibu maana yake ni kuzika dhambi hakuna maana nyingine.Wenye maneno mengi Mara zote huwa ni waongo. Maji hayaondoi dhambi,kubatizwa kwenye maji ni ishara tu ya kuzikwa utu wa kale na kuzaliwa upya, tangu mwanzo dhambi ilisafishwa kwa damu ya mwana kondoo kupitia kuhani,baadae damu ya Yesu ikamwagika pale msalabani kwa ajili ya Mimi na wewe, hivyo Damu ya Yesu yatosha kwa ondoleo la dhambi na hakuna mbadala
Kama damu ilisafisha yote Yesu wakati anarudi kwa baba yake alikuwa na ulazima gani wa kuwapa mitume mamlaka ya kusamehe dhambi na asiwaambie watu wengine kwenye mikutano mbalimbali wakiwa na dhambi wamuite tu wamesamehewa?Wenye maneno mengi Mara zote huwa ni waongo. Maji hayaondoi dhambi,kubatizwa kwenye maji ni ishara tu ya kuzikwa utu wa kale na kuzaliwa upya, tangu mwanzo dhambi ilisafishwa kwa damu ya mwana kondoo kupitia kuhani,baadae damu ya Yesu ikamwagika pale msalabani kwa ajili ya Mimi na wewe, hivyo Damu ya Yesu yatosha kwa ondoleo la dhambi na hakuna mbadala
Kanisa Katoliki halikuanza kushambuliwa leo mkuu lilianza kushambuliwa na Dola ya Kirumi karne ya Kwanza. Kama Yesu alivyokuja kuwaita wenye dhambi basi anajua ndani ya Kanisa kuna wenye dhambi na wema na polepole wakiwa katika njia za dunia wanapokea huruma yake. Kuna mapadre wema na wenye dhambi kama binadamu wengine, kuna waumini wema na wadhambi na hili ndilo Kanisa Katoliki ili Yesu aliye kichwa cha Kanisa na sisi sehemu ya mwili atusafishe.Hebu wakatoliki wanijuze kidogo ktk hali hii tunayoiona sasa ya papa kila anapoenda anashitakiwa mambo machafu yaliyofanywa na mapadri wa kanisa hilo na hasa kwa vijana wa kiume,wanapata wapi ujasiri wa kumweleza MTU mapungufu yao ilihali kuna uwazekano MTU Huyo ana makosa makubwa kuliko wewe unaetaka kusamehewa.Mifano mnayotoa ya wachungaji wa zamani inaweza ikawa sawa lakini hawa wa sasa kwenda kueleza mapungufu yako ni kujisanifu mwenyew tu, Yanayotokea ulaya na marekani hivi sasa ya vjana wa sasa na zamani badala ya kuungama dhambi zao wanaungama kudhalilishwa na mapadri in mambo yanayotokea hata afrika isipokuwa sisi tuna utii kwa viongozi wetu wa dini hadi tunatia kichefuchefu,mwishowe tun abaki kuwalaumu akina delicious nani sijui pasipo kujua huo ushoga walianza anzaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usichoelewa ni usiku wa giza. Umeorodhesha usiyoyaelewa ukidhani umeelewa. Kama unataka uelezwe uliza ujibiwe na ufanye uchunguzi kwa kusoma mafundisho Katoliki kuliko kukurupuka.Katubu kwa PADRE kwamba umedanya hapa jamii forums kwa kusema uongo! Kwa nini msamiati huu wa Padre msiuingize kwenye biblia wakati wa kufasiri
Heri yako wewe usiyemjinga,unayezijua lugha zote za ulimwengu! Japo unashindwa kutoa maana halisi ya Padre kibiblia!
Kwenye biblia kuna mitume ,manabii ,wainjilisti ,wachungaji na waalimu ambapo nyie hayo majina mnayapiga vita!
Mimi nilikua mkatoliki lakini sikuwa na amani na baadhi ya mafundisho yenu duni na dhaifu. Kwa sasa nina amani namtegemea YESU Kristo aliye Bwana na Mwokozi wangu, Siabudu dini wala itikadi za kidini.
Moja ya vitu amabavyo si kubaliani navyo ni:
1.Ibada za wafu et mt....flani utuombee?!
2.Kupewa kofi na askofu eti ndo paji la roho mtakatifu....lol!
3.Kusujudia sanamu au mtu, mfano kubusu na kuinamia pete za maaskofu...
4. Kuungama kwa binadamu eti unamwambia nimezini anakuuliza mara ngapi......duuu!
5.Mganga wa kienyeji kuwa katekista ....daaa!
6. Kufunga ndoa huku mtu ni mjamzito wa miezi kadhaa then anavaa shera/nguo nyeupe kama vile yuko bikra.
7.Kuhiji milimani na kubebeshwa misalaba na masanamu.
8.Kubariki misalaba makanisani inayoenda kupandwa kwenye makaburi ya wafu waliokufa siku nyingi...
9.Kukariri maombi na sala
10.Kuchanganya ushirikina na ukristo kwenu ruksa!
Hayo yote kibiblia ni machukuzo mbele za Mungu,achana na udini,itafute kweli nayo itakuweka huru!.Najua si rahisi kuukubali ukweli maana hata mimi nilikua mbishi na kutetea uongo lakini nashukuru Sana Mungu kwa neema sasa niko huru!
Unajua chimbuko la neno Padre? Hii ni tafsiri tu ya neno Priest, Kuhani,Sacerdode na limetumika kuanzia Agano la Kale kwa mfano Kuhani Melkizedeki aliyetoa sadaka ya mkate na divai kwa Abrahamu.Katubu kwa PADRE kwamba umedanya hapa jamii forums kwa kusema uongo! Kwa nini msamiati huu wa Padre msiuingize kwenye biblia wakati wa kufasiri
Heri yako wewe usiyemjinga,unayezijua lugha zote za ulimwengu! Japo unashindwa kutoa maana halisi ya Padre kibiblia!
Kwenye biblia kuna mitume ,manabii ,wainjilisti ,wachungaji na waalimu ambapo nyie hayo majina mnayapiga vita!
Mimi nilikua mkatoliki lakini sikuwa na amani na baadhi ya mafundisho yenu duni na dhaifu. Kwa sasa nina amani namtegemea YESU Kristo aliye Bwana na Mwokozi wangu, Siabudu dini wala itikadi za kidini.
Moja ya vitu amabavyo si kubaliani navyo ni:
1.Ibada za wafu et mt....flani utuombee?!
2.Kupewa kofi na askofu eti ndo paji la roho mtakatifu....lol!
3.Kusujudia sanamu au mtu, mfano kubusu na kuinamia pete za maaskofu...
4. Kuungama kwa binadamu eti unamwambia nimezini anakuuliza mara ngapi......duuu!
5.Mganga wa kienyeji kuwa katekista ....daaa!
6. Kufunga ndoa huku mtu ni mjamzito wa miezi kadhaa then anavaa shera/nguo nyeupe kama vile yuko bikra.
7.Kuhiji milimani na kubebeshwa misalaba na masanamu.
8.Kubariki misalaba makanisani inayoenda kupandwa kwenye makaburi ya wafu waliokufa siku nyingi...
9.Kukariri maombi na sala
10.Kuchanganya ushirikina na ukristo kwenu ruksa!
Hayo yote kibiblia ni machukuzo mbele za Mungu,achana na udini,itafute kweli nayo itakuweka huru!.Najua si rahisi kuukubali ukweli maana hata mimi nilikua mbishi na kutetea uongo lakini nashukuru Sana Mungu kwa neema sasa niko huru!
Kanisa Katoliki halikuanza kushambuliwa leo mkuu lilianza kushambuliwa na Dola ya Kirumi karne ya Kwanza. Kama Yesu alivyokuja kuwaita wenye dhambi basi anajua ndani ya Kanisa kuna wenye dhambi na wema na polepole wakiwa katika njia za dunia wanapokea huruma yake. Kuna mapadre wema na wenye dhambi kama binadamu wengine, kuna waumini wema na wadhambi na hili ndilo Kanisa Katoliki ili Yesu aliye kichwa cha Kanisa na sisi sehemu ya mwili atusafishe.
Yesu alimuambie Peter aliyemkana achunge kondoo wake hakwenda kuwafuata malaika walio wasafi mbinguni wachunge kondoo wake. Na wale wadhaniao wokovu ni wa mtu mmoja mmoja wawe makini na roho zao kwani Yesu alikuja kuwaokoa wanadamu na angekuwa anadeal na mtu mmoja mmoja tungesema alikuwa anabagua.
Kama unadhani utaenda mbinguni kwa nguvu zako mwenyewe endelea. Yesu alivyoita mitume na kuwapa mamlaka ya kuongoza hakuwa taahira asiyejua la kufanya. Ingekuwa hataki Kanisa angempa kila mmoja mamlaka ya kujiongoza bila kuwasikiliza mitume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani amekwambia kwamba ukiongea maovu yako hadharani utasamehewa kuliko kama ungeyaongelea kwa mtu mmoja? Hivi umeua mtu ukaenda kuongea hadharani, hiyo ndiyo tiketi ya kusamehewa? Umebaka msichana, ukaenda kuongea hadharani, jamii itakusamehe?? Umeshiriki kuvamia benki na kupora mamilioni ya fedha, ukaenda kuongea hadharani, jamii itakusamehe?... bora nikatubu hadharani ili ulimwengu mzima usikie na kunisamehe kwa sababu kama nilikuwa jambazi sikuwa namkosea padri bali wale nilowapora zao mali...
Kweli mkuu maandiko yako wazi ni uvivu wetu kuyasoma na kumtafakari Mungu, ukisoma mathayo 7inafafanua Sana tuMpatanishi kati ya Mungu na mwanadamu ni mmoja, naye ni Yesu kristo si mtume wala nabii. Hivyo mwanadamu ukimkosea Mungu mwenye uwezo wa kukupatanisha wewe na Mungu ni mmoja tu.
1tim 2:5
Sent using Jamii Forums mobile app