Wanaopinga kuungama dhambi kwa Padri, ndio wapinga Kristo wanaohubiriwa na wasabato na ndio wale wanaosoma maandiko kwa kurukaruka.

Ukristu na ukristo ni sawa? Kama ulikuta neno la Mungu kwenye agano jipya imeandikwa Kristo kwa nini humkuacha kama ilivyo? Mbona mnajitoa ufahamu wako?

Sent using Jamii Forums mobile app

Shida yako ni nini hasa? Wenzio tumeshawaelewesha kwamba istilahi "Kristo" na "Kristu" ni maneno yenye maana sawa tofauti iko kwamba Kristo limetoholewa kutoka lugha ya Kigriki na "Kristu" limetoholewa kutoka lugha ya Kilatini.Sasa unaposema tulitakiwa tunaposoma Biblia tuendelee kutumia neno "Kristo" unamaanisha kwamba hakutakiwa kufanya translation yoyote?
 

Sasa wayahudi waliposema mwanadamu kusamehe dhambi ni kufuru, Yesu aliwajibu vipi? Kwa aya yako hiyo,baada ya wayahudi kuona jambo hilo haliwezekani Yesu alikubali kwamba walichokisema ni kweli? Je, Yesu Aliwakubalia kwamba ni kweli mwanadamu hawezi kusamehe dhambi?
 
aliwaambia kuwa "Mwana wa Adamu" anayo mamlaka ya kusamehe dhambi..,
swali langu, kwani huyo mwana wa Adam ni binadam yoyote yule?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwana wa Adamu maana yake wanadamu wote wanaotokana na wazazi wa kwanza lakini waliokasimiwa hayo mamlaka kama mapadri.
mbn Biblia inamuelezea Yesu tu kuwa ndo Mwana wa Adamu na sio watu wengine, na kama basi ni kwa watu waliopewa mamlaka, kwann kwa kipindi cha zamani wale makuhani waliokuwa na jukumu la kuwakilisha dhambi za watu kwa Mungu kwenye mahema (kama nilivyosoma kwenye huu uzi maelezo ya 3 Angels message) wasiitwe Wana wa Adam?
maana jina hilo nalionaga pale tu linapomuwakilisha Yesu katika Biblia.
kwa vigezo gani unene kwamba linawakilisha mtu yoyote aliekasimiwa? kwa vithibitisho vipi?
utata wangu bado upo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi kweli kweli. Kasomeni kitabu cha Daniel chote Na ufunuo chote. Ila kabla ya kusoma omba roho mtakatifu
 
Kazi kweli kweli. Kasomeni kitabu cha Daniel Na ufunuo. Ila kabla ya kusoma omba roho mtakatifu
Mkuu bila shaka wewe ni Msabato....

Tunamalizana na uongo wa wapinga Kristo (Waislam) kisha tutafuata na uongo wa Wapinga Kristo (Wasabato)......

Kaa mkao wa kukata nyama
 
 
Kazi kweli kweli. Kasomeni kitabu cha Daniel chote Na ufunuo chote. Ila kabla ya kusoma omba roho mtakatifu

Mkuu tutamchambua muanzili wa dini yenu ya Kisabato naweza mwita mpiga ramli Ellen G White.....Tutaleta hapa hapa JF na ushahidi wa maandiko yake....

Kaa mkao wa kula nyama kwa mrija
 
Mkuu bila shaka wewe ni Msabato....

Tunamalizana na uongo wa wapinga Kristo (Waislam) kisha tutafuata na uongo wa Wapinga Kristo (Wasabato)......

Kaa mkao wa kukata nyama
Hakuna shaka rafiki kila andiko lenye pumzi ya Mungu lafaa kwa mafundisho. Ila uje ukiwa unaielewa biblia vema. Sio kupapasa maana ukilianzisha Na wasbato use sawa. Tahadhari tu. Kwani wao ni waberoya chakula chao ni neno LA Mungu. Usijitumainie we we mwenyewe Bali mueke Mungu kwanza akuongoze Na akupe hekima ya kimbingu. Barikiwa
 
Bado narudia Daniel hasa 7 Na ufunuo 13. Ina majibu yote. Barikiwa
 
Huna ulichopinga zaidi umetokea details ya proceedure za zamani walikua wanafanya nini

Lakini mtoa mada amesema mpango wa Mungu upo katika makundi matatu kabka ya Kristu, wakati wa Kristu na baada ya Kristu.

Hivyo kwa nini watu waseme dhambi zao amechukua kutoka kwenye hiyo story uliyoleta... Kisha akaunganisha wakati wa Kristu na baada ya Kristu. Shida unasoma nusunusu.

Soma yote uelewe kisha kama ni hoja ya kupinga tumia mtiririko kupinga na sio vipande vipande
 
Dhambi zako mwanadamu ukaziungame kwa Mwanadamu mwenzio Alafu na yeye huyo unayeungama kwake yye dhambi zake ana ungamia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…