Baba Paroko, tumsifu Yesu Kristu!! Asante sana kwa somo zuri amblo hakika limeshiba. Nimesoma kama na kukuelewa kama ninavyomwelewa Father Titus Amigu. Sina hakika kama yule mburura atarudi tena hapa!!Hayo yatajitokeza wakati wa uchangiaji.Kuna watu walidandia maandiko Matakatifu kwa mbele na hivi wanawapotosha kondoo wa Mungu.Ngoja tuwasaidie
Unatia hurumaMkuu kwenye uzi wako nimeona neno "YESU KRISTU"
Usahihi ni "YESU KRISTO" siyo "YESU KRISTU"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa yesu si ndo alimsamehe au yesu kwako sio munguAkikujibu unitag au tukio la mwiz Mwizi Msalabani alikuwepo Padre nan?
Mbona mnaacha mafundisho ya Mungu ili mtimize matakwa yenu?.View attachment 850492View attachment 850493
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda huko kwenu ukatoliki umetulia sanaUkatoliki ndio unafanya ukiristo ionekane ni imani ya kipuuzi hapa duniani
Huna tofauti na wayahudi walioshangazwa na mtu (Yesu) kusamehe dhambi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya kidunia yako tofauti na mambo ya kiroho. Ndio maana hata wanaokemea pepo wanakemea kwa jina la Yesu. Kama walipewa mamlaka mbona hawakemei kwa majina yao na mapepo yakatoka?Wewe ukipewa kukaimu madaraka anayehesabika anatenda kazi hiyo ni nani? Ni wewe au aliyekukaimisha nafasi hiyo?
Ukisoma hilo andiko lako kwa lugha ya Kingereza utaona neno forgiven ambalo limetoholewa kutoka lugha ya Kigiriki ambayo ndio iliyotumika kuandika agano jipya neno forgiven kwa Kigiriki lina maana AMPHIEN ambalo kwa Kingereza chake halisi ni have been literallyYesu alipoagiza hivi unafikiria alikuwa "amelewa"?
"19 Ilikuwa jioni ya siku hiyo ya Jumapili. Wanafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi. Basi, Yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, “Amani kwenu!” 20 Alipokwisha sema hayo, akawaonesha mikono yake na ubavu wake. Basi, hao wanafunzi wakafurahi mno kumwona Bwana. 21 Yesu akawaambia tena, “Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma nyinyi.” 22 Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu. 23 Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasamehe, hawasamehewi.” (Yohana 20:19-23)
Baba Paroko, tumsifu Yesu Kristu!! Asante sana kwa somo zuri amblo hakika limeshiba. Nimesoma kama na kukuelewa kama ninavyomwelewa Father Titus Amigu. Sina hakika kama yule mburura atarudi tena hapa!!
Soma biblia yako katika andiko hilo la 1tim 2:5 kwamba mpatanishi kati ya wanadamu na Mungu ni mmoja naye ni Yesu kristo. Sio nabii wala mchungaji wala padre.Yesu alimbatiza nani alipokuwapo hapa duniani?Je,kwa kutofanya hivyo ina maana si yeye anayewaondolea watu dhambi zao kwa njia ya ubatizo? Hivi ndio kwanza unajifunza reasoning?
Mambo ya kidunia yako tofauti na mambo ya kiroho. Ndio maana hata wanaokemea pepo wanakemea kwa jina la Yesu. Kama walipewa mamlaka mbona hawakemei kwa majina yao na mapepo yakatoka?
Kuna sehemu wanafunzi wa Yesu wakamjia wakamwambia hata kwa jina lako, mapepo yanatutii. Pepo hatoki kwa jina la nabii/mchungaji/kuhani/padre japo wao ndio wamefanya kazi ya kuomba. Hata kubatiza walipewa maagizo wawabatize kwa jina la baba na mwana na roho na sio wabatize kwa majina yao kwa sababu wao ndio wametenda kazi ile.
Kwani lini ulienda kuungama kwa Padri akakuondolea dhambi zako kwa jina lake badala ya lile la "Kwa Jina la Baba,Mwana na Roho Mtakatifu"? Hivi tunajadiliana na "msukule"?
Haya ndiyo madhara ya watu wanaokaa muda wote wanaang'aza macho angani kuona kama Yesu anarudi upesi.Akili zako hazipo kabisa kwenye mjadala bali ziko zinasikilizia sasa huko nje kama kuna vishindo vya Yesu kurudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si mkatolikiMwenye dhambi hawezi ondoa dhambi zá mwenzake.
Ukatoliki comedi zaidi.
Nilizaliwa na kukulia humo. Mjadala wa comedi zá wakatoliki JF hawezi tosha
Sent using Jamii Forums mobile app
21 Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi.Nataka fungu lolote kutoka kwenye maandiko matakatifu yanayo ruhusu hicho unachokitetea na mimi nitakupa verse zinazopingana mnachokiamini ni sahihi
Soma biblia yako katika andiko hilo la 1tim 2:5 kwamba mpatanishi kati ya wanadamu na Mungu ni mmoja naye ni Yesu kristo. Sio nabii wala mchungaji wala padre.
Ukija kwenye mada ya ubatizo ni pana tutakuja kwenye ubatizo upi ni sahihi, wa maji mengi (aliobatizwa Yesu) au maji machache (mnaobatiza nyie) na ubatizo upi sahihi, kubatiza watoto wadogo au kubatiza watu wazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Mstari wa 23 hapo chini umeelewaje?Kuungama kwa padri? Unaungama dhambi zako kwa yule uliyemkosea sasa unaenda kuungama kwa padri kwani umemkosea yeye? Acha kubeba imani bila kutumia akili
Nipe kifungu cha biblia kinachosema ubatizo ni function ya quantity badala ya quality.Unajaza server za JF bure tu.Kama ubatizo ni function ya Quantity badala ya Quality nendeni sasa mkaweke kabisa order viwandani, ya madebe ya sabuni ya Omo na Mshindi.
Padri mwenzakeJe , Padre /Padri naye akitenda dhambi anakwenda kuungama kwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app