Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 3,135
- 3,392
Nafikiri wakristo wa Tanzania ndicho wanachotegemea waislamu wafanye vurugu ili waseme kuwa waislamu wameleta fujo nchini kumbe wameomba miaka nenda rudi lakini wananchi wenzao wakristo wenye madaraka wamekataa kwasababu ambazo hazina mshiko bali kuinyesha kiburi na mashindano...unafikiri wanigieria walipenda, unafikiri mataifa mengine walipenda na Tanzania ni tofauti sana??? BIG time NO ufa unaojengwa kwa mashindano ambayo yapo kwenye hoja ya gharama ni dhaifu sana...
Nimekuuliza wewe kama mkristo unakosa nini waislamu kuwa na mahakama ya kadhi???Tanzania
Hivi kila anayepinga mahakama ya kadhi automatically anakuwa Mkristo?
Ask around pal, there are learned Muslim lawyers who know and understand that Kadhi courts cannot be funded or kick-started by the Government.
Mimi si muislam lakini naunga mkono kadhi court ianzishwe, ila iende sambamba na mfumo mzima wa sharia law kwa waislam watakao ridhia ili kupunguza watoto wa mitaani watakaokuwa wamezaliwa na vijana wenu lakini hawatambuliki na mahakama hizo za Kadhi. Sharia law inatakiwa iwepo ili kuwashughulikia wazinzi wanaozaa zaa ovyo nje huku wakijua watoto hao hawana chao kwenye mirathi. Na zaidi, mahakama hizo zianzishwe na waumini wenyewe wanaotaka.