Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Hapo kwenye red naomba source.
@shizukan
Wanawake waislam wanapenda hukumu za kiislam sana tu, na katika jamii inayoongoza kwa kuingia katika haki ni wanawake duniani ..
naomba ujibu yale maswali with intellect, siyo ushabiki bearing in mind tuna waislam 50% in Tanzania ok