Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Naomba CCM itumie pensheni za maaskari kwa ajili ya kampeni. Kisha mkishatumia pensheni za maaskari mfute majina yao kwenye system. Naamini nyie ni wasikivu na mtatakeleza hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili suala nimetoka kujiuliza juzi baadae ya kuona bango kubwa sn yale ya simu hapa Iring waneweka picha ya raisi, Sasa nikajiuliza kwamba watu hawamfahamu au??
Si Bora hizo pesa wakatupatia sie tusiyokuwa na uhakika wa milo 3???
Dah hela zinachezewa Sana, any way.