Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Hili suala nimetoka kujiuliza juzi baadae ya kuona bango kubwa sn yale ya simu hapa Iring waneweka picha ya raisi, Sasa nikajiuliza kwamba watu hawamfahamu au??
Si Bora hizo pesa wakatupatia sie tusiyokuwa na uhakika wa milo 3???
Dah hela zinachezewa Sana, any way.