Kamati ya Mzee Mwinyi ina wajumbe watatu Mzee Mwinyi,Pius Msekwa na Abdul Rahman Kinana,ina maana hii habari kama ni ya kweli then imevujishwa na mmoja wapo wa hao watatu?Au hii kamati ina wajumbe zaidi ya hao waliyowezesha kuvujisha habari hizi na kumfikia Kubenea???Sipati picha!
Ufisadi upo sehemu nyingi duniani lakini siyo wa kiwango cha kijinga na kipuuzi kama huu wa Tanzania. Kila kitu kina mwisho hawa mafisadi wana mwisho wao, Mwisho wa muda wao haujilikani, inaweza ikachukua muda mfupi au mrefu.Hakuna sehemu duniani ambako mafisadi hakuna. Inategemeana ni mafisadi gani. Usiote ndoto chovu kwmaba kuna siku mafisadi wataisha Tanzania. No way!
Kamati ya Mzee Mwinyi ina wajumbe watatu Mzee Mwinyi,Pius Msekwa na Abdul Rahman Kinana,ina maana hii habari kama ni ya kweli then imevujishwa na mmoja wapo wa hao watatu?Au hii kamati ina wajumbe zaidi ya hao waliyowezesha kuvujisha habari hizi na kumfikia Kubenea???Sipati picha!
Best option ni kuyapatanisha makundi hayo mawili. Nionavyo mimi kundi la akina Seleki na wenzie ndiyo watakaokataa. Basi wakatae na kama wanataka wajitoe CCM na wakaanzishe au wajiunge na vyama vilivyopo. Kama wao ni maarufu kwenye majimbo yao tutaona baada ya uchaguzi mkuu. Hao wakitoka CCM haiwezi kusambaratika.Kwani akina Seleli hawatakuwa wa kwanza. Mbona CCM siku nyingi imekuwa inakimbiwa na watu wa maana wengi tu lakini wanajikuta nje ya CCM hawana bao. Halafu wanarudi tena. Kwani hilo kundi la akina Seleli mnafikiri wote watashinda ubunge? Hakuna kitu. Wao waacheni waende. Kuwafukuza akina EL, RA, AC na NK is not a panacea. Kama hao ni mafisadi hao waliobakia siyo mafisadi? Hebu acheni hizo bwana.!!!
Ndugu zangu siku za karibuni wamekuwepo baadhi ya wanasiasa na hata Watanzania wenzetu wakiwalaumu wale wote waufanyao ufisadi. Kiasi kwamba unapata picha kuwa hao watu wanawaowalaumu wenzao ni wasafi kuliko. Ninakumbuka Yesu alipopelekewa yule mwanamke mzinzi na mafarisayo wakitaka apigwe mawe, Yesu akawauliza kama na wao walikuwa hawana hatia ya dhambi ya uzinzi. Maajabu ni kuwa walishindwa kumtupia mawe kwa sababu na wao hawakuwa safi. Naye mtakatifu Paulo kwenye Warumi 2:1 anasema..kwa maana katika hayo umhukumuyo mwingine wajihukumu mwenyewe kuwa na hatia (kwa nini?) kwa sababu wewe uhukumuye wayafanya yale yale. Hao hawatajiepusha na hukumu ya Mungu(2:3).
Wabunge hao wanaowasakama wenzao kuwa ni mafisadi bila ya kuwaeleza Watanzania ufisadi wao ni nini na ni upi, wao wenyewe ukifuatilia jinsi walivyopata ubunge utagundua wote walitumia njia za ufisadi kupata nafasi hizo. Wanafiki wakubwa hao hawana agenda nyingine zaidi ua kuiingiza nchi kwenye machafuko.
Best option ni kuyapatanisha makundi hayo mawili. Nionavyo mimi kundi la akina Seleki na wenzie ndiyo watakaokataa. Basi wakatae na kama wanataka wajitoe CCM na wakaanzishe au wajiunge na vyama vilivyopo. Kama wao ni maarufu kwenye majimbo yao tutaona baada ya uchaguzi mkuu. Hao wakitoka CCM haiwezi kusambaratika.Kwani akina Seleli hawatakuwa wa kwanza. Mbona CCM siku nyingi imekuwa inakimbiwa na watu wa maana wengi tu lakini wanajikuta nje ya CCM hawana bao. Halafu wanarudi tena. Kwani hilo kundi la akina Seleli mnafikiri wote watashinda ubunge? Hakuna kitu. Wao waacheni waende. Kuwafukuza akina EL, RA, AC na NK is not a panacea. Kama hao ni mafisadi hao waliobakia siyo mafisadi? Hebu acheni hizo bwana.!!!
Ndugu zangu siku za karibuni wamekuwepo baadhi ya wanasiasa na hata Watanzania wenzetu wakiwalaumu wale wote waufanyao ufisadi. Kiasi kwamba unapata picha kuwa hao watu wanawaowalaumu wenzao ni wasafi kuliko. Ninakumbuka Yesu alipopelekewa yule mwanamke mzinzi na mafarisayo wakitaka apigwe mawe, Yesu akawauliza kama na wao walikuwa hawana hatia ya dhambi ya uzinzi. Maajabu ni kuwa walishindwa kumtupia mawe kwa sababu na wao hawakuwa safi. Naye mtakatifu Paulo kwenye Warumi 2:1 anasema..kwa maana katika hayo umhukumuyo mwingine wajihukumu mwenyewe kuwa na hatia (kwa nini?) kwa sababu wewe uhukumuye wayafanya yale yale. Hao hawatajiepusha na hukumu ya Mungu(2:3).
Wabunge hao wanaowasakama wenzao kuwa ni mafisadi bila ya kuwaeleza Watanzania ufisadi wao ni nini na ni upi, wao wenyewe ukifuatilia jinsi walivyopata ubunge utagundua wote walitumia njia za ufisadi kupata nafasi hizo. Wanafiki wakubwa hao hawana agenda nyingine zaidi ua kuiingiza nchi kwenye machafuko.
Mfano mdogo tuuu tokea twasoma those 1980's mpaka sasa wana CCM wengi bado wapo na nyazifa zoa hakuna mabadiriko yoyote mwinyi kila siku yuko kwenye NEC & CC Marehumu Simba wa vita nae alikuwa anaudhuria jamani Kingunge ati nae? what wrong with this old politician? Chama ni chao nasi tuanzishe chetu au? maana nasi tumejiunga na CCM na tumewakuta na kustaaafu hawataki je wanataka nini? juzi wameambiwa ni zamu ya vijana wazee basi wamekuja juu hoo kwani mie ni mzee jamani ni alama za nyakati ndizo zawambia mpisheni sio uzee tu.
Just tizama nchi za ulaya ni kiongozi gani yupo kwenye madaraka eg tokea enzi za kina R.Nixon,Jimmy C,JF Kennedy, G Bush, kwa clintoni naweza sema ni viongozi wa chini au wako kwa Military ambako ni muhumu sana kwani ndiko kwa play part kubwa ya ulinzi wa nchi sasa hapa kwetu toka enzi za uhuru mpaka leo watu ni wale wale no changes jamani?
sasa kwnini wasikutwe na hizo kashifaaaaa bwana uongozi kwa wabunge mawaziri etc iwe just 10 to 12 yrs period.
Na Saed Kubenea
Gazeti hili linaweza kuthibitisha kwamba kamati ya Mwinyi imependekeza kuvuliwa nyadhifa kwa walau vigogo wanne wa chama hicho ili kurejesha umoja na mshikamano ndani ya chama, jambo ambalo kama litafanikiwa, basi mpango mzima wa kuanzisha au kuhama chama unaweza kuyeyuka.
Source:[/B] Gazeti la MwanaHALISI
Ukiangalia hao wanaojiita vinara ndiyo usisema kwanza wanakula rushwa na ufisadu wao ni wa kijinga kama ule wa Ole..ambaye anang'ata na kupuliza, mbona nasikia alipewa mchanga tanzaniteone ili fedha itakayopatikana apelekee maendeleo kwa wananchi wake lakini kachikichia yote mwenyewe...kuna mengi sana lakini unahitaji kutumia jicho la tatu..Ukiacha ubunge ambao hawata poteza ila iwapo tu watavuliwa uanachama wa CCM, je wanne hao wana madaraka gani tena ndani ya chama ukiondoa ujumbe wa NEC?
si sahihi Nanu kusema kua hao wanaojiita vinara wa ufisadi ndio wa kwanza kula Rushwa, ,.......kama unakubali kua rushwa mbaya, sema usiogope, simama sema, kama unao ushahidi kuwa wanakula rushwa waseme, toa taarifa sahihi kabisa , uone kama hawafuatiliwa.Ukiangalia hao wanaojiita vinara ndiyo usisema kwanza wanakula rushwa na ufisadu wao ni wa kijinga kama ule wa Ole..ambaye anang'ata na kupuliza, mbona nasikia alipewa mchanga tanzaniteone ili fedha itakayopatikana apelekee maendeleo kwa wananchi wake lakini kachikichia yote mwenyewe...kuna mengi sana lakini unahitaji kutumia jicho la tatu..
Nguvumali, hatetewi mtu hapa ng'o!!!! Ninachosema CCM yote imeoza hata hao wanaosema wapambanaji wa ufisadi pia ni mafisadi.... tunahitaji "overhaul" ya system na hii ni kwa kuwapa wapinzani viti vingi bungeni!!!!si sahihi Nanu kusema kua hao wanaojiita vinara wa ufisadi ndio wa kwanza kula Rushwa, ,.......kama unakubali kua rushwa mbaya, sema usiogope, simama sema, kama unao ushahidi kuwa wanakula rushwa waseme, toa taarifa sahihi kabisa , uone kama hawafuatiliwa.
kama Lowasa . na kina Rostam si mafisadi leta ushahidi wako hadharani, watetee kwa hoja sii kusema kuwa wanaosema hao ni wezi wankosea kwa sababu nao ni wezi...jibu hoja kwa hoja ,acha utetezi rahisi Mtanzania mwenzangu
These Four guys are very powerful inside CCM, untouchable in other worlds. kuwafukuza hawa jamaa wanne lazima CCM itameguka makundi 2 na ndiyo utakuwa mwisho wake. Believe me.
Mfano mdogo tu kukuonyesha Lowassa ana nguvu kwenye CCM kwamba akiamua kugombea Uraisi kwa CCM 2010 na Kikwete, nomination ndani ya CCM lazima lowassa amgalagaze mukulu wetu sababu jamaa kasheheni wajumbe kibao Kamati Kuu, NEC na wanachama kwa ujumla wanaomsapoti, kumbukeni hawa jamaa wali pray great role kwenye mtandao wa 2005. hizi ni number mbaya hasigusiki hata Yusuf anajua hilo.
Kukuhakikishia hilo fuatilia kikao cha Halmashauri kuu miezi kadhaa iliyopita yaliyotokea wakati Samweli anataka kupokwa kadi yake.
Kwa hiyo kuna mawili
a) Hawa jamaa hawatafanywa chochote kukinusuru chama chao, ingawa kufanya hivyo chama kitazidi kupotea imani kwa wananchi wake.
b) In case wakiamua kuwatimua ujue CCM ndiyo mwisho wake umefika, na vyama kama CCJ na
Chadema vitaibukia hapo kuwa na nguvu za kuchukua dola.
Sasa mimi naona watachagua A.
Na Saed Kubenea
Wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema mpango wowote kati ya hiyo miwili ule wa kufukuza mafisadi au ule wa kushughulikia watuhumiwa wa ufisadi, unaweza kukipasua chama. Hii itategemea jinsi mwenyekiti Rais Kikwete atakavyocheza karata zake, amesema mjumbe wa NEC na kuongeza, aamue kife au kipone.
Source: Gazeti la MwanaHALISI
Mkuu you are very right thinking this way, lakini kumbuka hii ni Tanzania na ni zaidi ya uijuavyo. With this thinking in mind EPA neva existed so did Richmond, Deepgreen, Meremeta etc.
Nilichojifunza in the last 3 to 4 yrs, Kila habari in Tz just ipe 50/50 na ikiwezekana 30/70 with the later (latter) being very likely it is true. Just stay tuned.................