Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,171
Kamati ya Mzee Mwinyi ina wajumbe watatu Mzee Mwinyi,Pius Msekwa na Abdul Rahman Kinana,ina maana hii habari kama ni ya kweli then imevujishwa na mmoja wapo wa hao watatu?Au hii kamati ina wajumbe zaidi ya hao waliyowezesha kuvujisha habari hizi na kumfikia Kubenea???Sipati picha!
Karamagi aliposaini mkataba wa Buzwagi alikuwa yeye, Lowasa na Executives wa Barrick.......... Nani alivujisha habari?????