Wanaosali kwa Mwamposa asilimia tisini ni waislam

Wanaosali kwa Mwamposa asilimia tisini ni waislam

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Hili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.

Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.

N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.
 
Hili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamelogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoowa na hili kundi la kuolewa ndo wengi zaidi ya wagonjwa. Waarabu kibao wanaenda kwa mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta nandio maana mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.

N. B. sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam naniwengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa kwamtoro.
Hao siyo Waislamu tayari.
 
Waende au wasiende haibadilishi kitu katika dini wala kuongeze na hakuna anayejali kwani mwisho wa siku kila mtu atapambana na mzigo wake na kila anachofanya mtu kiwe chema au kiovu ni juu yake mwenyewe.
33838a7d3b7df4dd13a279bc618995bd.jpg
 
Sheria gani inakataza ? ikiwa katika kingereza au lugha yeyote inaitwa tafsiri ya Qu'ran na hakuna ubaya kujua tafsiri kwani lengo ni kuelewa vizuri kiarabu inabaki kama msingi na ndio Qur'an yenyewe.
Kuna ubaya kutafsiri Quran kwa lugha nyingine ndo watoto madrasa wanakariri Quran mfano Quran ingekua inatafsiriwa kiswahili hakukua na haja ya watoto kukariri huko madrasa
 
Back
Top Bottom