Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Haina ubaya iwapo wanaenda kupata majibu ya mahitaji yao na kupita .
Mungu ni mmoja tu alotuumba Wanadamu ukisoma agano la kale Waislam na Wakristo ni kitu kimoja .
Kwenye Agano jipya ndiko kumeleta tofauti.
Mungu ni mmoja tu alotuumba Wanadamu ukisoma agano la kale Waislam na Wakristo ni kitu kimoja .
Kwenye Agano jipya ndiko kumeleta tofauti.