Wanaosali kwa Mwamposa asilimia tisini ni waislam

Wanaosali kwa Mwamposa asilimia tisini ni waislam

Haina ubaya iwapo wanaenda kupata majibu ya mahitaji yao na kupita .

Mungu ni mmoja tu alotuumba Wanadamu ukisoma agano la kale Waislam na Wakristo ni kitu kimoja .

Kwenye Agano jipya ndiko kumeleta tofauti.
Ukiristo Hauna uhusiano na agano la kale..ni Imani iliyoanzishwa na paulo
 
Thibitisha hili..mbona sijawahi kuona mtu kazaliwa anamjua huyo ala au mtume mwamedi badala yake kutwa kucha kukaririsha watoto kiarabu wamjue huyo ala.

Nadhani ujinga + dini ndio laana kwa hii dunia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nathibitisha mtu ili aingie kweny ukristo na ushoga lazima atabizwe kwa vile alizaliwa akiwa muislamu
 
Kwao huko kinacho patikana ni mafunzo ya yesu sio mungu,yesu si mwana wa mungu kwani mungu hazai, mungu hakupewa mimba.!

Mwisho wa siku kuna gharama za maisha za kulipa: umeme, maji, nauli, chakula, mavazi, malazi, akiba. Vyote vinapatikana kwa kufanya kazi na kuwepo kwa imani sahihi ya mtu.kinyume na hapo ni maisha ya shortcut,
Ndio maana mashoga wengi imani yao ni hiyo hiyo;

Watoto kuvizia mali za wazazi wao,kesi nyingi za mirathi ni wao;
Wakishindwa sana sana ni kuwa madalali (mtaji wao ni maneno mengi);

Wengine umri wa miaka 50, 60, 70 bado wamepanga vyumba, hawana kwao.
Watoto kuto endelea na masomo, na wengine kuolewa kwenye umri mdogo. Unakuta mwanamke wa umri wa miaka 21 tayari ana ndoa tatu na zote zimevunjika!

Ukikuta mwenye kazi nzuri, basi ni yaya kwa wahindi!
Dini yao iko kimyaa wao adui yao ni yesu tu.

Angalia matangazo ya waganga wa kienyeji, wote majina yao ni shekh majid, shekh salumu, sijui ana toa tiba ya pesa za majini, anarudisha mpenzi, mara nguvu za kiume,.

Sasa kwenda kwa mitume na manabii ni shortcut nyingine, acha na wapigwe.
 
Kwanini isifundishwe kwa kiswahili ili watu waelewe zaidi
Kwa kiarabu ibaki kama Rejea
Atarejea Nani na wote hamjui kiarabu baada ya kujifunza kwa tafsiri!?...Qur'an hutumika kwenye swala,ukitafsiri inakua vague kwenye swala...na kwa nini unakerwa ilhali husomi wewe!?
 
Kwao huko kinacho patikana ni mafunzo ya yesu sio mungu,yesu si mwana wa mungu kwani mungu hazai, mungu hakupewa mimba.!

Mwisho wa siku kuna gharama za maisha za kulipa: umeme, maji, nauli, chakula, mavazi, malazi, akiba. Vyote vinapatikana kwa kufanya kazi na kuwepo kwa imani sahihi ya mtu. Kinyume na hapo ni maisha ya shortcut,
Ndio maana mashoga wengi imani yao ni hiyo hiyo;

Watoto kuvizia mali za wazazi wao,kesi nyingi za mirathi ni wao;
Wakishindwa sana sana ni kuwa madalali (mtaji wao ni maneno mengi);

Wengine umri wa miaka 50, 60, 70 bado wamepanga vyumba, hawana kwao.
Watoto kuto endelea na masomo, na wengine kuolewa kwenye umri mdogo. Unakuta mwanamke wa umri wa miaka 21 tayari ana ndoa tatu na zote zimevunjika!

Ukikuta mwenye kazi nzuri, basi ni yaya kwa wahindi!
Dini yao iko kimyaa wao adui yao ni yesu tu.

Angalia matangazo ya waganga wa kienyeji, wote majina yao ni shekh majid, shekh salumu, sijui ana toa tiba ya pesa za majini, anarudisha mpenzi, mara nguvu za kiume,.

Sasa kwenda kwa mitume na manabii ni shortcut nyingine, acha na wapigwe.
Hao ni watu sio dini kama papa amaruhus ushoga yeye ni binadamu japo kweny biblia hapaja ruhus inakuwaje matendo ya watu kuingiza kweny dini .

Je unaamini mitume wenu hawa wa sasa je unaamini kanisa linalofungisha ndoa za jinsia moja, je ukristo umeandika na kusapot ndoa za jinsia? Ni kwamba binadamu Wana mambo yao na hakuna dini inasapot ujinga

Njoo ishu ya ushirikina dini yenu imekemea mtu akijihusisha na mambo hayo hata kuswalisha hafai na hata tunaamini dhambi zote zinasameheka isipokuwa shirk kutokana na kitabu chetu .

Kitabu chetu kimesisitiza watuw wasome hata mtume alibanwa mbavu kulazimishwa kusoma ipo sehemu inasema tafuteni elimu japo kuwa nchi za china.

Ukiona mtu hafanyi hayo izo ni mila zao za kikabila hazihusiani na uislamu kabisa.
 
WANAO SALI KWA MWAMPOSA[emoji116]

Wavivu wa kufikili& kufanya kazi.
Wafuasi wa ushirikina na mambo ya imani za kipuuzi.
Wengi wao ni wanawake.
Hawana elimu.
Hawana pesa.
Masikini choka mbaya.
Wahuni mashindikanaa waliokosa ndoa sababu ya tabia zao na kujificha kwenye kivuli cha dini ili wapewe izo hirizi za nabii wao wapate waume/wake.

Hawa wote utawakuta ktk kila aina ya magenge ya ibada za matapeli wa miujiza
 
Kwa takwimu iyo sio kweli na haiwezekani Nina kwa 💯 kama unataka kuleta mtafaruku wa kidini mi nipo tayar nitaanika uthenge wote wa ukristo usipende kuleta ujinga hao jamaa wanachukua watu wanawalipa wakiulizwa majina wanaweza taja lolote hata mkoani anaweza kusema labda katokea kigoma kuja dar yote iyo kama marketing .
Mleta mada una vinasaba vya ujinga huwezi kuona watu wametulia sasa na sisi tutajibu kila swali kama akili yako ilivyo hakuna muislamu anaenda kweny uthenge wenu huo hata wakristo safi huwezi wakuta jamaa hapo juu kataja watu wanapenda wale wavivu ,maskini ,wanaoamini mambo ya kichawi.

Unaacha kukemea wajinga wenzio kujiita mitume unaleta porojo angalia sana usipende kuzua tafrani nitajibu kama ujinga uliote hapa ndo nyumba ya kejeli usije ukaslimu tu.
 
Hili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.

Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.

N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.

Pigia yesu makofi
 
Back
Top Bottom