Wanaosali kwa Mwamposa asilimia tisini ni waislam

Wanaosali kwa Mwamposa asilimia tisini ni waislam

Kiukweli Mimi nimepata miujiza baada ya kutumia hayo mafuta na maji yaliyoombewa na mwamposa. Ongea jingine
 
Jikite kwenye mada na jibu hoja nadhani itasaidia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Sina hakika kwa hicho alichotuletea, hata tukiomba ushahidi hataleta, si yupo humu!! Basi mwache alete ushahidi, na wewe jiwe upo hapa kujionea kama nikweli ama uongo. 💯 hataleta ushahidi.


Muislamu wa kweli, hawezi kufanya huo ujinga. Na kama wapo basi hizo ni nafsi zao wenyewe, na kesho wataulizwa kwa kwa walichokifanya.

وَاعْبُدُوا اللَّهَ وَلَا تُشْرِكُوا بِهِ شَيْئًا ۖ وَبِالْوَالِدَيْنِ إِحْسَانًا وَبِذِي الْقُرْبَىٰ وَالْيَتَامَىٰ وَالْمَسَاكِينِ وَالْجَارِ ذِي الْقُرْبَىٰ وَالْجَارِ الْجُنُبِ وَالصَّاحِبِ بِالْجَنْبِ وَابْنِ السَّبِيلِ وَمَا مَلَكَتْ أَيْمَانُكُمْ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَا يُحِبُّ مَنْ كَانَ مُخْتَالًا فَخُورًا
Annisaa 36
Muabuduni Mwenyezi Mungu wala msimshirikishe na chochote. Na wafanyieni wema wazazi wawili na jamaa na mayatima na masikini na jirani wa karibu na jirani wa mbali, na rafiki wa ubavuni na mpita njia, na walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi wenye kiburi wanao jifakhiri,
 
Hili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.

Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.

N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.
ni sawa

asili ya kuzaliwa mwana wa adam ni ISLAM.

ndo maana mnawabatiza
 
Sheria gani inakataza ? ikiwa katika kingereza au lugha yeyote inaitwa tafsiri ya Qu'ran na hakuna ubaya kujua tafsiri kwani lengo ni kuelewa vizuri kiarabu inabaki kama msingi na ndio Qur'an yenyewe.
Kwanini isifundishwe kwa kiswahili ili watu waelewe zaidi
Kwa kiarabu ibaki kama Rejea
 
Kwanini isifundishwe kwa kiswahili ili watu waelewe zaidi
Kwa kiarabu ibaki kama Rejea
Mwenyezi Mungu amefanya Qu'ran iwe rahisi kuhifadhi hata kukumbuka kwa kutumia kiarabu na ndio rahisi zaidi kuelewa na hata aya zinapotamkwa kiarabu mtu zinakuathiri moyoni hata kama haulewi kitu(ukimpata msomaji mzuri).

Na muhimu mtu kujua kwa kiarabu kwani ndio hutumika kuswalia .Na ndio maana utotoni mtu anakariri tu kwani hata akielewa haita msaidia kitu ila anakuwa anafundishwa tafsiri mdogo mdogo kwa kadiri anavyokua.

Na kwa Kiswahili inafundishwa sana hata ukikuta darasa za mashekhe kuhusu tafsiri huwa aya zinachambuliwa kwa Kiswahili hata hotuba za ijumaa asili yake kiarabu lakini huwa inatolewa Kiswahili ili watu waelewe .
 
Mwenyezi Mungu amefanya Qu'ran iwe rahisi kuhifadhi hata kukumbuka kwa kutumia kiarabu na ndio rahisi zaidi kuelewa
Kwenye kuhifadhi ibaki kiarabu Ila kufundishia iwe kwa lugha mama( Kiswahili )
Na sio kweli watanzania wanaelewa kiarabu , zaidi ya kiswahili
 
Kwenye kuhifadhi ibaki kiarabu Ila kufundishia iwe kwa lugha mama( Kiswahili )
Na sio kweli watanzania wanaelewa kiarabu , zaidi ya kiswahili
Na ndivyo inavyofanya mara zote na sio hapa Tz bali karibia nchi zote ambazo hawazungumzi kiarabu Qu'ran inafundishwa (kwa kuelewa na kuzingatia) kwa kutumia lugha mama ya nchi husika hata mimi huwa mda wangu wa kusoma Qur'an nimeutenga sehemu mbili

1.Sehemu ya kwanza kusoma kwa kiarabu tu .
2.Kusoma tafsiri na uchambuzi kwa lugha ya kingereza au Kiswahili na hapa ndio natumia sehemu kubwa .
 
Hili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.

Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.

N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.
Sio kweli...
 
Kwa sababu alitoka au alitolewa kwenye uislamu pale alipo batizwa ndio maana anatakiwa kusilimu anaporudi katika dini yake ya asili.
Alitokaje Tena Kuna watu ni wapagani hawana dini Leo hii wakienda kwenye uislam wanaambiwa waslim achen kudanganya watu

Huo umeanza mwaka wa 600 huku dini uyahudi ambao ndo ukristo umetokea huko ukiwa upo miaka 4000 kabla ya uislam
 
ni sawa

asili ya kuzaliwa mwana wa adam ni ISLAM.

ndo maana mnawabatiza
Thibitisha hili..mbona sijawahi kuona mtu kazaliwa anamjua huyo ala au mtume mwamedi badala yake kutwa kucha kukaririsha watoto kiarabu wamjue huyo ala.

Nadhani ujinga + dini ndio laana kwa hii dunia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Alitokaje Tena Kuna watu ni wapagani hawana dini Leo hii wakienda kwenye uislam wanaambiwa waslim achen kudanganya watu

Huo umeanza mwaka wa 600 huku dini uyahudi ambao ndo ukristo umetokea huko ukiwa upo miaka 4000 kabla ya uislam
Dini ya uyahudi na ukiristo ni vitu viwili tofauti
 
Back
Top Bottom