Pre GE2025 Wanaosema Gwajima hana msaada jimboni wanakaa wapi?

Pre GE2025 Wanaosema Gwajima hana msaada jimboni wanakaa wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kwanza mkuu usiongee kabisa, Gwajima aliwaahidi wanakawe wakimpa kura akawa mbunge, atawapeleka wote huko Birmingham na raia wa huko wataletwa Kawe ikiwa ni mpango wa kubadilishana raia.

Leo ni mwaka wa nne wanakawe wapo na hati zao za kusafiria mikononi hawajui wafanye nini.
Hata ile boti na train mpaka leo ni utapeli tupu
 
Siku ya Jumamosi ya tarehe 21 iliandikwa historia ya kunyesha mvua isiyo ya kawaida iliyosababisha maafa makubwa sana. Pamoja na maeneo mengine, jimbo la Kawe liliguswa vibaya sana na mvua hizi.

Madaraja mengi yalikatika, nyumba ziliondoka na kukabaki misingi tu. Magari na samani nyingi zilisombwa na maji. Tangu siku ile jana mbunge Gwajima amekuwa bega kwa bega na watu wake kuhakikisha anakuwa nao huku akipambana kurudisha tumaini tena kwenye maisha yao.

Gwajima ameonekana sana kwenye site za madaraja na barabara huku greda alilonunua likipambana na tope usiku na mchana kusaidia wananchi. Madaraja mengi yamerudishwa katika hali yake na mawasiliano ya barabara yamerudi kuimarika vyema.

Kama vyombo vya habari havioni jambo hili sisi wananchi tutatumia midomo yetu kumwambia mbunge asante kwa moyo wako wa ukarimu. Jitihada zako tangu ulipoamua kugombea mpaka leo zinaonekana.

Mtu akija jimboni na aweke akili yake sawasawa. Ukituletea masentensi ya ovyo eti mbunge hajatusaidia tutakufundisha hii ndio Kawe ya Gwajima. Mitaro ya Mbweni, mitaro ya Msasani, vivuko na barabara alizotengeneza unaweza kudhani Gwajima wako 1000 kumbe jamaa ni mmoko lakini shughuli ni ya kubafu aroooo.
Taja mambo aliofanya kabla ya hizi mvua sio kuwa anaonekana kwenye sehemu zilizoathirika anaenda kuona tu sana atashughulikia kulinda au kuokoa eneo lake dhidhi ya mafuriko ili aendelee kuwakamua kodoo wake kwa utulivu.
Bora arudi Halima Mdee alikua anafatia mambo mengi.
 
Nashauri jaribu kubadili aina ya Bange / Bangi unayoivuta sasa kwani huenda ikawa imechanganyika na Kinyesi cha Mtu mzima hivyo imeathiri pia hata na Ubongo wako katika Kufikiri.
Wapiga kura wake mmekuwa na jazba mno.
 
Nashauri jaribu kubadili aina ya Bange / Bangi unayoivuta sasa kwani huenda ikawa imechanganyika na Kinyesi cha Mtu mzima hivyo imeathiri pia hata na Ubongo wako katika Kufikiri.
Uwezo wako wa kufikiri uko chini ya rubbish
 
Uwezo wako wa kufikiri uko chini ya rubbish
Ila pamoja na kulijua hilo bado tu 24/7 huachi kabisa Kunifuatulia na Kunisoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums.

Je, Members wenye Uwezo mkubwa wa Kufikiri hapa JamiiForums na unaowakubali hawapo ili uwe busy Kuwafuatilia hao / wao na uachane na Mimi nwenye Uwezo mdogo / wa chini wa Kufikiri?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!

Kasome Yeremia 1:19 ili ujue kuwa hata Ufanyeje huwezi kabisa Kushindana nami kwa Akili Kubwa na matumizi ya hizo Akili Kubwa hizo hizo.

Kudadadeki......!!!
 
Back
Top Bottom