Wanaosema ID yangu imekaa kidem, mbona sijawahi fatwa PM na kidume hata kimoja?

Humu Kuna ME, KE, na nafikiria pia MEke. Wewe kwa kulalamikia kutofatwa na vidume kama si KE basi utakua keME. Ila sio ME hata.
 
Halafu mbona hili lijamaa linalojiita nichumu nibebike limepotea halijibu hiz shutuma
Afu unaweza kuta liko 18+ na ndevu kibao, nywele mpaka kwny masikio afu linakua na habar za kina ashura na kina Sikujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…