Wakati mwengine ukiangalia hili taifa kwa mtazamo Furani, Unaweza kusema labda ni TAIFA la wendazimu niliambiwa "tafuta hela utakuja kunishukuru" kwenye mada hata isiyohusiana kabisa na mapenzi wala hela yenyewe.
Tafuta hela kiasi kwamba hata ukitoa bao unaulizwa "Umeumia baby??"Ni hivi kila mtu anayepost kaumizwa na mapenzi wadau wanasema atafute hela, mie nauliza hizo hela inatakiwa ziwe kiasi gani?
Hahahah !Watu wanatafuta hela mwisho wa siku wanaishia kuwa limbukeni wa mapenzi au material thingsTukifanya tu conclusion ya ulichoandika
Tutafute tu hela mkuu au[emoji23]
Hahahah !Watu wanatafuta hela mwisho wa siku wanaishia kuwa limbukeni wa mapenzi au material things
maa wanaionea wivu kichiziDooh! we jamaa imekuaje tena umechezea umeme!!
Ja
maa wanaionea wivu kichizi
Asante manDah! karibu tena...