The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Inafahamika kuwa siku hizi wanawake wengi wanafanya maamuzi kwa utashi wao..
tofauti na zamani....siku hizi wamewezeshwa na wanaweza......
wapo wanaotongoza wenyewe wanaume...
wapo wanaotoka nje ya ndoa kwa revenge....
wengine 'for just having fun' na kadhalika.......
na wengine hata hukana kuwa wameolewa wanapokutana na vidume
huko mitaani......
sasa swali langu ni hili......kwa nini katika jamii ya kitanzania watu weengi
mno wanashabikia na kuunga mkono pale mwanaume anapofumaniwa na mke wa mtu
kupewa 'adhabu ya kulawitiwa'........??????
na kwa nini adhabu hii ni 'maarufu' mno kwa watanzania..while masuala ya sex
kwa wake na waume za watu yapo dunia nzima??????
na kwa nini jamii hii inapinga mno vitendo vya ki shoga while at the same time
inashabikia mno 'adhabu' ya aina hii.......
ni jambo la kawaida mwanaume anaetembea na mke wa mtu kuonywa kuwa 'atafanyiziwa'
akikamatwa kama vile huyo mwanaume huyo ni 'mbakaji vile'
na sio kuwa ni maamuzi ya watu wazima wawili.......inakuwaje?????????
tofauti na zamani....siku hizi wamewezeshwa na wanaweza......
wapo wanaotongoza wenyewe wanaume...
wapo wanaotoka nje ya ndoa kwa revenge....
wengine 'for just having fun' na kadhalika.......
na wengine hata hukana kuwa wameolewa wanapokutana na vidume
huko mitaani......
sasa swali langu ni hili......kwa nini katika jamii ya kitanzania watu weengi
mno wanashabikia na kuunga mkono pale mwanaume anapofumaniwa na mke wa mtu
kupewa 'adhabu ya kulawitiwa'........??????
na kwa nini adhabu hii ni 'maarufu' mno kwa watanzania..while masuala ya sex
kwa wake na waume za watu yapo dunia nzima??????
na kwa nini jamii hii inapinga mno vitendo vya ki shoga while at the same time
inashabikia mno 'adhabu' ya aina hii.......
ni jambo la kawaida mwanaume anaetembea na mke wa mtu kuonywa kuwa 'atafanyiziwa'
akikamatwa kama vile huyo mwanaume huyo ni 'mbakaji vile'
na sio kuwa ni maamuzi ya watu wazima wawili.......inakuwaje?????????