Wanaosoma ucc jitokezeni jamani!!...

Wanaosoma ucc jitokezeni jamani!!...

dottoz

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
1,510
Reaction score
870
Naomben kujua course ambazo wanaztoa hawa UCC.maana nataka nijiunge.
 
We bwana unaonekana ni kila kitu unataka kufanyiwa hata ukienda hapo utafeli unashindwa nini kwenda ucc mpaka upige mayowe humu wakati ni wewe unayetaka kusoma? pangekuwa nje ya nchi ningeona ombi lako lina maana lakini kwa hili na ni ujinga mtupuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?/
 
we jamaa nenda kuna vipeperushi vyao ambavyo vina maelezo yote mpaka xul fees kulingana na kozi
 
Back
Top Bottom