Wanaosombaza habari za watu maarufu kubadili dini na kusilimu huwa wanalenga nini hasa?

Wanaosombaza habari za watu maarufu kubadili dini na kusilimu huwa wanalenga nini hasa?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Si vyema kuwa na mahaba na dini yako mpaka unapitiliza mipaka ya utimamu wa kawaida wa akili(common sense) na kugeuka kituko.

Naona mitandaoni baadhi ya watu wanakazana kusambaza taarifa ya Kim Kiduku wa Korea Kusini kusilimu na kuwa muislamu, kwanza kwa kiasi kikubwa taarifa hii inaonekana ni uzushi ukizingatia Wakorea wanavyopenda kitimoto, sidhani kama unaweza kumuambia Kiduku aache kula kitimoto akakuelewa .

Huu mtindo wa kutangaza habari za watu kusilimu mara kwa mara au kukumbushia historia za watu waliosilimu ni aina fulani ya ujuha. Mfano wiki kadhaa tu zilizopita kulikuwa na taarifa ikisambaa sana ya Pierre Liquid akisilimu. Hadi na vi-online TV vilikuwa vinarusha matangazo live ya hilo tukio! Nashangaa sana kwamba bado kuna watu wanaishi zama hizo za kijima za kutambiana kubadilisha watu dini kwa kuonyesha mtu fulani maarufu amebadilisha dini, sijui huwa wanalenga nini wanaofanya matangazo ya aina hiyo karne hii.
 
20241014_035749.jpg
 
Huwa wanaona ufahari dini yao inapendwa na kuaminiwa, mara usikie mzize kabadili dini kasilimu, mara anelka, mara snoopy kawa muislam, janeth jackson kasilim, fujo tupu, ni abrakadabra tu, si kitu
 
Si vyema kuwa mahaba na dini yako mpaka unapitiliza mipaka ya utimamu wa kawaida wa akili(common sense) na kugeuka kituko.

Naona mitandaoni baadhi ya watu wanakazana kusambaza taarifa ya Kim Kiduku wa Korea Kusini kusilimu na kuwa muislamu, kwanza kwa kiasi kikubwa taarifa hii inaonekana ni uzushi ukizingatia Wakorea wanavyopenda kitimoto, sidhani kama unaweza kumuambia Kiduku aache kula kitimoto akakuelewa .

Huu mtindo wa kutangaza habari za watu kusilimu mara kwa mara au kukumbushia historia za watu waliosilimu ni aina fulani ya ujuha. Mfano wiki kadhaa tu zilizopita kulikuwa na taarifa ikisambaa sana ya Pierre Liquid akisilimu. Hadi na vi-online TV vilikuwa vinarusha matangazo live ya hilo tukio! Nashangaa sana kwamba bado kuna watu wanaishi zama hizo za kijima za kutambiana kubadilisha watu dini kwa kuonyesha mtu fulani maarufu amebadilisha dini, sijui huwa wanalenga nini wanaofanya matangazo ya aina hiyo karne hii.
Dini ni janga kwa binadamu
 
Kwahiyo na wewe umelileta hapa ili iweje!
Maana usingeleta hapa wengine tusingejua Kama kiduku sijui nani kasilimu..
Mradi wa wewe kuleta hapa ni ili tufuate mawazo yako au unaumia vionline Tz kutangaza habari za kina piere sijui kusilimu?
Vitu vidogo lakini sijui kwanini watu huwa mnakuwa na viranga..
Samahani Kama nimeandika kwa ukali mkuu.
 
Huwa wanaona ufahari dini yao inapendwa na kuaminiwa, mara usikie mzize kabadili dini kasilimu, mara anelka, mara snoopy kawa muislam, janeth jackson kasilim, fujo tupu, ni abrakadabra tu, si kitu
Uzuri wengi wanaobadiri dini hawalijui neno kiundani..kwa mtu anaejua neno vizuri hawezi badili dini kamwe
 
Si vyema kuwa na mahaba na dini yako mpaka unapitiliza mipaka ya utimamu wa kawaida wa akili(common sense) na kugeuka kituko.

Naona mitandaoni baadhi ya watu wanakazana kusambaza taarifa ya Kim Kiduku wa Korea Kusini kusilimu na kuwa muislamu, kwanza kwa kiasi kikubwa taarifa hii inaonekana ni uzushi ukizingatia Wakorea wanavyopenda kitimoto, sidhani kama unaweza kumuambia Kiduku aache kula kitimoto akakuelewa .

Huu mtindo wa kutangaza habari za watu kusilimu mara kwa mara au kukumbushia historia za watu waliosilimu ni aina fulani ya ujuha. Mfano wiki kadhaa tu zilizopita kulikuwa na taarifa ikisambaa sana ya Pierre Liquid akisilimu. Hadi na vi-online TV vilikuwa vinarusha matangazo live ya hilo tukio! Nashangaa sana kwamba bado kuna watu wanaishi zama hizo za kijima za kutambiana kubadilisha watu dini kwa kuonyesha mtu fulani maarufu amebadilisha dini, sijui huwa wanalenga nini wanaofanya matangazo ya aina hiyo karne hii.
huwa ni mawenge ya kidini tu yameandamana kwenye fikra zao za kibaguzi 🐒
 
Back
Top Bottom