Wanaotafuta wachumba njoooni hukuu na wale wenye umri mkubwa waume wapo kazikwenu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Jana nilikuwa sehemu ya kinywaji nkaumia sana kuona mabinti 3 niliosoma nao wakinywa kama wanataka kwenda mwezini walipoanza kulewa tukaanza mazungumzo longtym nk.. nkauliza amjaolewa mpaka sasa jaman ndoa tatizo ndoa sugu hataree wwtote waliishia embu tunywee pombee bahaanaa hapa kama unataka kutuzalisha chagua tukupe mtoto sisi wanaume washatu choka kila unaekutana nae anakupa kimba anakimbia tule pombe

dah nkasema jaman wanaume naombeni pls njoon huku wekeni cont zenu wapendwa. tusaidie hili gonjea sugu la kutoolewa madada zetu

na nyie mnaotom...ovyo mnazalisha mnakimbia madada zetu mtalaa niwa milele nawambia

kila la kheri wotee wanaotarajiwa kupata mchumbq
 
Mkuu chambua mkeka uweke code tupate pesa za kuwala hao dada zako
 
Nipe namba ya mmoja wao awe mzuri
 
AL AHLY GG
1.80
ROSENBERG OV 2.5
1.60
WEKAMZIGO
 
Eh!🥱
 
2.20
PYRAMID GG
VIFK OV 2 5
MXB
 
BOHEMIANS GG
WEXFORD GG
1.80/1.60
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…