Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Nipe Mwanao wa kike Mkuu Mimi nahitaji sunaWife material tupogo ila ndoa hapana 😎😎
Nitamwambia je?Nipe Mwanao wa kike Mkuu Mimi nahitaji suna
Acheni watu wa vijijini waoene ila hapa mjini ndoa ni mtihani mkubwa sanaaWakuu kwa sasa hali imekuwa tofauti sana wanaotafuta wanawake wa kuowa wanapitia hali ngumu saana. Kwa sasa imekuwa ngumu kutofautisha wife material na kahaba[emoji16]
Mke hatafutwi Mkuu, mnakutana tu kwenye mzunguko wa maisha.Wakuu kwa sasa hali imekuwa tofauti sana wanaotafuta wanawake wa kuowa wanapitia hali ngumu saana. Kwa sasa imekuwa ngumu kutofautisha wife material na kahaba😁
Mjini kasheshe hapaAcheni watu wa vijijini waoene ila hapa mjini ndoa ni mtihani mkubwa sanaa
Ipo hata kwa wanaotafuta waume. Ufuska uko kwa wote!Wakuu kwa sasa hali imekuwa tofauti sana wanaotafuta wanawake wa kuowa wanapitia hali ngumu saana. Kwa sasa imekuwa ngumu kutofautisha wife material na kahaba[emoji16]
We kaa kimya ww muangalie kwanza 😏Wife material tupogo ila ndoa hapana 😎😎
Acha kunywa gongo mkuu.Unakuwa huru(non- selective) mnoo.😂Ndoa haina faida nyingine zaidi ya sex (ngono)..
Sasa kama ngono inapatikana hata biila ndoa kwann unaingia kwenye ndoa??