Katibu Afya
Member
- Sep 22, 2014
- 56
- 20
Habari Za majukumu wasomi wenzanu.
Nimeona C vibaya nikitumia fursa hii kuwapa muhtasari wa majibu tuliyopewa jana tarehe 13 October mimi na wahanga wenzangu wa NOT SECURED tulipokwenda HESLB ili tuwe na picha halisi ya jinsi hali ilivyo kwa kuwa naamini wengi miongoni mwa watakaoshiriki kesho kwenda kudai haki yao, jana hatukuwa nao pale BODI.Waswahili wanasema ukitaka kumshinda adui yako lazima umjue jinsi alivyo.
Moja kwa moja nawaunga mkono waandamanaji ili mradi tu maandamano yawe ya amani kama ambavyo tulifanya cc jana na muda c mrefu tukiwa pale pale BODI status za baadhi ya wahanga zikaanza kubaddilika kutoka NOT SECURED na kujikuta wamepata mkopo.
Bila shaka hawa jamaa walifanya hivi kwa wakati ule ili watuy wapunguze jazba na kuona pengine mambo yangekaa sawa kwa sababu wakati ule tunamgonga maswali yaliyoshiba shibe ya kupindukia yule Mkurugenzi wa Bodi, watu wao wa IT walikuwa mitamboni wakiendelea na yao.ENEO tulilokaribishwa lilikuwa ni nje kwa sababu ndani pasingetosha kutokana na idadi kubwa ya watoto wa masikini na yatima wanaojitambua kufurika pale kudai haki yao.
Miongoni mwa mwswali yalikuwa kama ifuatavyo.
1: Nini maana nzuri ya neno NOT SECURED.
Jamaa alijibu ni hali ya kutofanikiwa kupata kitu fulani,pale pale akatwangwa swali jingine lililozaliwa kutoka katika jibu la swali la kwanza bila yeye kujua kwa nini aliulizwa swali rahisi kiasi kile.
2: Kutofanikiwa kupata kitu fulani ni lazima kuwe na sababu za msingi, Tuliokosa mkopo tumeandikiwa NOT SECURED lakini hatujui kwa nini? Jamaa akamtuma msaidizi wake akawaambie watu wa IT waandike sababu ya kila mtu mmoja iliyomfanya akose mkopo.Kwa kuwa hao wataalam wa IT walikuwa mitamboni muda ule, ndo hapo status za watu wengine zikaanza kubadilika na kujiona wamepata mkopo wakati awali haikuwa hivyo na ndipo mwanzo wa kutokea kwa maelezo fulani chini ya NOT SECURED yakionesha sababu za kutopata.
Nilipatwa na Mgagasuko moyoni baada ya kaka angu ambaye tunafanana sifa,Tunalingana umri,Jinsia,aina ya elimu kwa kuwa cc tumezaliwa Pacha,tayari tumemzika Baba mwaka 2008 na tumeambatanisha kila aina ya ushahidi ktk nyaraka za maombi ya mkopo huo na tumechaguliwa kozi moja katika chuo kimoja.Kozi tuliyochaguliwa ni Priority According to TCU Admission Book lakini yeye kapewa mimi cjapewa halafu bado naambiwa sababu ya kutopata eti cjakidhi vigezo, swali lifuatalo nikamdondoshea yule bwana.
3: Ni vigezo gani vilivyofanya kaka angu akapata wakati huo huo mimi nikose wakati mimi na broo ni kama mwenyezi Mungu ali kopi na kupesti wakati wa kutuumba kuanzia mwonekano,tabia mpaka shida za kimaisha (ufukara )
Yule bwana akabadilisha na kusema kwamba...Kuna watu 9000 ambao wana vigezo vya kupata lakini wamekosa kutokana na bajetu kufika kikomo.Nikamtwanga swali jingine
4: Inakuwaje mnaona wazi kwamba pesa iliyopo ni ndogo tofauti na idadi ya watu wanaohitaji halafu hapo hapo wengine wanapewa 100% wakati wengine hamuwapi hata 0% kweli hii ni haki?
5: Kwa nini msingewagawanisha hao wenye uhitaji angalau nusu nusu ili kila mmoja zimsitiri jamani??? Watanzania wenzetu mnatunyanyasa.....Pesa kibao mmepeleka JKT kuchezea wakati maswala ya muhimu kama haya mnashindwa kutekeleza!!!!!! kwa nini mnaanzisha program zisizo na msingi wakati za msingi zinawashinda?
Hii ni aibu kubwa kwa Taifa la Tanzania hivi hamjui kama cc ndo viongozi wa baadaye?? kwa haya mnayotutendea mnapandikiza nini vichwani mwetu?
Nilisogea pembeni na kuwaachia wengine nafsi waendelee ktoa maduku duku yao kwa sababu tayari chozi lilishaanza kunidondoka kwa uchungu xo nlishindwa kuendelea.
Inaonekana maneno yalimwingia jamaa ipasavyo naye kutambua madudu waliyoyafanya hasa kwa kushindwa kugawanya kiasi kidogo cha pesa ili kuwafikia walengwa wote wenye uhitaji wa namna moja.Kutokana na hilo jana niligundua kwamba TANZANIA ina uhaba mkubwa wa watendaji wanaojiongeza kwa kutumia akili zao binafsi,hawa jamaa wanaishi kwa ku kariri jambo ambalo ni hatari sana kwa nchi yetu kwani Mijitu dizaini hii hata makadirio ya bajeti za familia zao huwa zinawashinda na laiti kama hawa jamaa wanafanya kazi ktk falme za kiarabu wangekuwa wameshachinjwa zamani sana.Kwa upole alihitimisha hivi
" Tatizo kubwa ni kwamba Serikali imetoa pesa kidogo sana, pesa yote iliyotolewa ndo hiyo ambayo imegawanywa kwa watu na hakuna hata senti iliyobaki labda kama serikali itaongeza pesa nyingine.
Kwa kuwa mi siishi Dar na tayari nilishakata tiketi kurudi mkoani, Saa nne ile ile niliondoka zangu kuelekea Ubungo tayari kwa safari huku nikiwaacha wenzangu wakielekea zilipo ofisi za TAMISEMI ambapo waliambiwa haya yafuatayo;
"Suala lenu tayari linajulikana na sasa hivi tuna kikao juu ya suala hili tukiiomba serikali yetu tukufu kufanya mchakato wa mkopo kwa vinaja hawa ambao wamekosa hivyo bas kwa kuwa kesho ni ckukuu, nendeni mje tena Jumatano"
Naomba nieleweke, Maneno haya yalizungumzwa TAMISEMI wakati tayari mi nimeshaondoka,Niliambiwa na mmoja wa wenzangu tuliokuwa naye HESLB ambaye yeye alifika hadi katika ofisi hizo.
KWA WALIOPATA MKOPO;
Furaha uliyonayo sasa hivi, kinyume chake ni uchungu na maumivu aliyonayo mwenzako aliyekosa,haina tofauti na kufeli mtihani, nadhani kwa waliowahi kufeli wakati walisoma kwa bidii na kutarajia kufaulu, wanafahamu nini namaanisha.Furaha yako isikupelekee ukamkashifu yule aliyekosa hicho ulichonacho wewe. Nawatakia maisha mema ya chuo na muitumie fursa hiyo mliyoipata kufikia malengo.Katika kila herufi moja unayoisoma ukiwa chuo kumbuka kuna wenzako kibao wapo mtaani kwa kushindwa kuendelea na masomo kutokana na H E S L B kufuta ndoto zao.
Kwa yule mwenye uwezo wa kujisomesha pia usije ukamwona mwenzako anayeshindwa kujisomesha kwa kukosa mkopo ni mzembe........jamani cc ni Fukara lakini ufukara unatofautiana kama unabisha Nenda kesho kaone watoto wa Fukara wanavyolilia haki yao na vielelezo vyote ambavyo wakati mwingine unaweza ukajiona wewe una nafuu.
Nawatakia kila la kheri
Nimeona C vibaya nikitumia fursa hii kuwapa muhtasari wa majibu tuliyopewa jana tarehe 13 October mimi na wahanga wenzangu wa NOT SECURED tulipokwenda HESLB ili tuwe na picha halisi ya jinsi hali ilivyo kwa kuwa naamini wengi miongoni mwa watakaoshiriki kesho kwenda kudai haki yao, jana hatukuwa nao pale BODI.Waswahili wanasema ukitaka kumshinda adui yako lazima umjue jinsi alivyo.
Moja kwa moja nawaunga mkono waandamanaji ili mradi tu maandamano yawe ya amani kama ambavyo tulifanya cc jana na muda c mrefu tukiwa pale pale BODI status za baadhi ya wahanga zikaanza kubaddilika kutoka NOT SECURED na kujikuta wamepata mkopo.
Bila shaka hawa jamaa walifanya hivi kwa wakati ule ili watuy wapunguze jazba na kuona pengine mambo yangekaa sawa kwa sababu wakati ule tunamgonga maswali yaliyoshiba shibe ya kupindukia yule Mkurugenzi wa Bodi, watu wao wa IT walikuwa mitamboni wakiendelea na yao.ENEO tulilokaribishwa lilikuwa ni nje kwa sababu ndani pasingetosha kutokana na idadi kubwa ya watoto wa masikini na yatima wanaojitambua kufurika pale kudai haki yao.
Miongoni mwa mwswali yalikuwa kama ifuatavyo.
1: Nini maana nzuri ya neno NOT SECURED.
Jamaa alijibu ni hali ya kutofanikiwa kupata kitu fulani,pale pale akatwangwa swali jingine lililozaliwa kutoka katika jibu la swali la kwanza bila yeye kujua kwa nini aliulizwa swali rahisi kiasi kile.
2: Kutofanikiwa kupata kitu fulani ni lazima kuwe na sababu za msingi, Tuliokosa mkopo tumeandikiwa NOT SECURED lakini hatujui kwa nini? Jamaa akamtuma msaidizi wake akawaambie watu wa IT waandike sababu ya kila mtu mmoja iliyomfanya akose mkopo.Kwa kuwa hao wataalam wa IT walikuwa mitamboni muda ule, ndo hapo status za watu wengine zikaanza kubadilika na kujiona wamepata mkopo wakati awali haikuwa hivyo na ndipo mwanzo wa kutokea kwa maelezo fulani chini ya NOT SECURED yakionesha sababu za kutopata.
Nilipatwa na Mgagasuko moyoni baada ya kaka angu ambaye tunafanana sifa,Tunalingana umri,Jinsia,aina ya elimu kwa kuwa cc tumezaliwa Pacha,tayari tumemzika Baba mwaka 2008 na tumeambatanisha kila aina ya ushahidi ktk nyaraka za maombi ya mkopo huo na tumechaguliwa kozi moja katika chuo kimoja.Kozi tuliyochaguliwa ni Priority According to TCU Admission Book lakini yeye kapewa mimi cjapewa halafu bado naambiwa sababu ya kutopata eti cjakidhi vigezo, swali lifuatalo nikamdondoshea yule bwana.
3: Ni vigezo gani vilivyofanya kaka angu akapata wakati huo huo mimi nikose wakati mimi na broo ni kama mwenyezi Mungu ali kopi na kupesti wakati wa kutuumba kuanzia mwonekano,tabia mpaka shida za kimaisha (ufukara )
Yule bwana akabadilisha na kusema kwamba...Kuna watu 9000 ambao wana vigezo vya kupata lakini wamekosa kutokana na bajetu kufika kikomo.Nikamtwanga swali jingine
4: Inakuwaje mnaona wazi kwamba pesa iliyopo ni ndogo tofauti na idadi ya watu wanaohitaji halafu hapo hapo wengine wanapewa 100% wakati wengine hamuwapi hata 0% kweli hii ni haki?
5: Kwa nini msingewagawanisha hao wenye uhitaji angalau nusu nusu ili kila mmoja zimsitiri jamani??? Watanzania wenzetu mnatunyanyasa.....Pesa kibao mmepeleka JKT kuchezea wakati maswala ya muhimu kama haya mnashindwa kutekeleza!!!!!! kwa nini mnaanzisha program zisizo na msingi wakati za msingi zinawashinda?
Hii ni aibu kubwa kwa Taifa la Tanzania hivi hamjui kama cc ndo viongozi wa baadaye?? kwa haya mnayotutendea mnapandikiza nini vichwani mwetu?
Nilisogea pembeni na kuwaachia wengine nafsi waendelee ktoa maduku duku yao kwa sababu tayari chozi lilishaanza kunidondoka kwa uchungu xo nlishindwa kuendelea.
Inaonekana maneno yalimwingia jamaa ipasavyo naye kutambua madudu waliyoyafanya hasa kwa kushindwa kugawanya kiasi kidogo cha pesa ili kuwafikia walengwa wote wenye uhitaji wa namna moja.Kutokana na hilo jana niligundua kwamba TANZANIA ina uhaba mkubwa wa watendaji wanaojiongeza kwa kutumia akili zao binafsi,hawa jamaa wanaishi kwa ku kariri jambo ambalo ni hatari sana kwa nchi yetu kwani Mijitu dizaini hii hata makadirio ya bajeti za familia zao huwa zinawashinda na laiti kama hawa jamaa wanafanya kazi ktk falme za kiarabu wangekuwa wameshachinjwa zamani sana.Kwa upole alihitimisha hivi
" Tatizo kubwa ni kwamba Serikali imetoa pesa kidogo sana, pesa yote iliyotolewa ndo hiyo ambayo imegawanywa kwa watu na hakuna hata senti iliyobaki labda kama serikali itaongeza pesa nyingine.
Kwa kuwa mi siishi Dar na tayari nilishakata tiketi kurudi mkoani, Saa nne ile ile niliondoka zangu kuelekea Ubungo tayari kwa safari huku nikiwaacha wenzangu wakielekea zilipo ofisi za TAMISEMI ambapo waliambiwa haya yafuatayo;
"Suala lenu tayari linajulikana na sasa hivi tuna kikao juu ya suala hili tukiiomba serikali yetu tukufu kufanya mchakato wa mkopo kwa vinaja hawa ambao wamekosa hivyo bas kwa kuwa kesho ni ckukuu, nendeni mje tena Jumatano"
Naomba nieleweke, Maneno haya yalizungumzwa TAMISEMI wakati tayari mi nimeshaondoka,Niliambiwa na mmoja wa wenzangu tuliokuwa naye HESLB ambaye yeye alifika hadi katika ofisi hizo.
KWA WALIOPATA MKOPO;
Furaha uliyonayo sasa hivi, kinyume chake ni uchungu na maumivu aliyonayo mwenzako aliyekosa,haina tofauti na kufeli mtihani, nadhani kwa waliowahi kufeli wakati walisoma kwa bidii na kutarajia kufaulu, wanafahamu nini namaanisha.Furaha yako isikupelekee ukamkashifu yule aliyekosa hicho ulichonacho wewe. Nawatakia maisha mema ya chuo na muitumie fursa hiyo mliyoipata kufikia malengo.Katika kila herufi moja unayoisoma ukiwa chuo kumbuka kuna wenzako kibao wapo mtaani kwa kushindwa kuendelea na masomo kutokana na H E S L B kufuta ndoto zao.
Kwa yule mwenye uwezo wa kujisomesha pia usije ukamwona mwenzako anayeshindwa kujisomesha kwa kukosa mkopo ni mzembe........jamani cc ni Fukara lakini ufukara unatofautiana kama unabisha Nenda kesho kaone watoto wa Fukara wanavyolilia haki yao na vielelezo vyote ambavyo wakati mwingine unaweza ukajiona wewe una nafuu.
Nawatakia kila la kheri