Mwanamosi
Member
- Aug 9, 2010
- 73
- 0
Nadhani ni muda muafaka sasa kwa wale wanaodhani kuwa wako tayari kuhama CCm wafanye hivyo..hofu yangu ni kuwa hawatoki kwa dhati ya moyo bali wanahama kwa mashinikizo ya kisiasa na ndio maana wanarudi CCM baadae na kuvuruga upinzani..
hawa siwatofautishi na waroho wa madaraka ambao wao kushindwa ni karaha na wanataka wao washinde tu..haiwezekani!!! lazma nao siku moja moja washindwe na kama wameshindwa kwa mizengwe basi wafanye yanayotakiwa wakate rufaa na kutumia vyombo husika. tatizo ni migongano ya kimaslahi ktk siasa za kisiku hizi za chuki na visa ndio maana wanatosana.
kama mtu wa kuhama basi atakuwa ameshahama na asingesubiri kushindwa ndipo aseme anahama tena baada ya kuzongwa na makundi ya kisiasa. mi nahisi si wote wanaotaka kuhama wanahama kweli bali huenda kuvuruga upinzani.
hawa siwatofautishi na waroho wa madaraka ambao wao kushindwa ni karaha na wanataka wao washinde tu..haiwezekani!!! lazma nao siku moja moja washindwe na kama wameshindwa kwa mizengwe basi wafanye yanayotakiwa wakate rufaa na kutumia vyombo husika. tatizo ni migongano ya kimaslahi ktk siasa za kisiku hizi za chuki na visa ndio maana wanatosana.
kama mtu wa kuhama basi atakuwa ameshahama na asingesubiri kushindwa ndipo aseme anahama tena baada ya kuzongwa na makundi ya kisiasa. mi nahisi si wote wanaotaka kuhama wanahama kweli bali huenda kuvuruga upinzani.