Uzi aliuleta 1st April labda alikua anaenda na sikukuu ya wajingaHehehehehe! Nimeshindwa kumuelewa mtoa mada ni mtu wa namna gani? Anasema "meli ipo bandarini" Du!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu Mleta mada ana tatizo walilonalo watanzania wengi wanaofanya biashara zao comoro huwa hawawi wawazi. kaongelea meli halafu nauli analeta ya Ndege
he he he he! kazi ipo! eti hataki kumtafunia mtu! Kwahiyo mtu aende bandarini meli ipo! Kuna meli ngapi pale? Watanzania jamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haata kuandika hajui. Kujieleza hajui, kujibu pia hajuiHehehehehe! Nimeshindwa kumuelewa mtoa mada ni mtu wa namna gani? Anasema "meli ipo bandarini" Du!
Sent using Jamii Forums mobile app
ni sababu mmedandia gar kwa mbele walionaza ba huu uzi woote wameelewaHaata kuandika hajui. Kujieleza hajui, kujibu pia hajui
hujaelewa sababu hata hujui mada ilianzia wap umejikuta unadandia tuHehehehehe! Nimeshindwa kumuelewa mtoa mada ni mtu wa namna gani? Anasema "meli ipo bandarini" Du!
Sent using Jamii Forums mobile app
huu uzi ni kwa wote walionza na mm tangu mada ya kwanza ...kama inajihis hukuwepo kaa pembenUzi aliuleta 1st April labda alikua anaenda na sikukuu ya wajinga
huu uzi ni kwa wote walioanza na mm tang mada ya kwanza kama unajijua umedandia shuka tu...Haata kuandika hajui. Kujieleza hajui, kujibu pia hajui
umeshindwa kuelewa sababu umedandia hukuwepo wakat mada unaanzia so kaaa pemben huu uzi unawahusu woote tulianza kujadili fursa comoroHehehehehe! Nimeshindwa kumuelewa mtoa mada ni mtu wa namna gani? Anasema "meli ipo bandarini" Du!
Sent using Jamii Forums mobile app
We bwege nini? Sasa habari uzilete kwa hiyari yako lkn ukiulizwa unawaka povundio tabu yenu mnataka mtafuniwe mmezewe ...meli IPO nenda bandalin kaulizie inaondoka lini na ww ujue utapakia nn.
Sent using Jamii Forums mobile app
na meli ni ngumu mtu kujua couse kila mzigo unachaj yake ...ndo mana tunashaur mtu atafute Agence ampe maelekezo
Sasa kwa nini usiseme tangu awali kuwa uzi huu ni muendelezo wa uzi mwingine, unakurupuka tu kama umetoka choo cha nje kwenye nyumba za Buguruni?huu uzi ni kwa wote walioanza na mm tang mada ya kwanza kama unajijua umedandia shuka tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huwa hamna akili timamu kuleta nyuzi nusunusu, huko Comoro tunaenda bure, hebu tuambie nauli ni bei gani kwenda huko Comoro?TANGAZO ,:wale woote wanaofanya biashara comoro AMA wanataka kwenda kutazama fursa comoro bas meli IPO inapakia sasa..wahi nafas mnaotaka kwenda kutazama fursa bas ni wakat mzur wa kupakia mzigo kidogo ili kuweza kucover cost ...asanten
Sent using Jamii Forums mobile app
ww ndo umekurupuka kama ulijikuta huelew si ungepita kushotoSasa kwa nini usiseme tangu awali kuwa uzi huu ni muendelezo wa uzi mwingine, unakurupuka tu kama umetoka choo cha nje kwenye nyumba za Buguruni?
Kwezi ninyi watu wa Pwani mazuzu sana ndo mnalawitiwa sana, unaulizwa nauli ya usafiri wa majini wewe unaleta nauli ya ndege, haya taja na nauli ya basi sasa
Katika uzi wako kwa nini usingesema kabisa hii. Au unataka kutongozwa?ww ndio kilaza comoro hamna meli za abiria usafir unaotumika ni ndege tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo taabu yako ww, kuamini watu wote JF tunaishi Dar, yaani nitoke Mwanza kwenda kuuliza nauri bandarin?ndio tabu yenu mnataka mtafuniwe mmezewe ...meli IPO nenda bandalin kaulizie inaondoka lini na ww ujue utapakia nn.
Sent using Jamii Forums mobile app
bwege ni ww unashupalia kitu kisichokuhusu unahis huelew pita kushoto wanaoelewa watabak hapa! sio kila mada uchangie nenda kwenye udaku uko inatoshaWe bwege nini? Sasa habari uzilete kwa hiyari yako lkn ukiulizwa unawaka povu
Kwani baharini kuna Visa?Nauli ya kutoka dar hadi comoro ni sh. Ngapi kwa meli mkuu?na cost za visa ni sh. ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
mafanikio hayakufat upo ulipo ..ww unasema mwanza to dar wakat watu wanatoka dar to comoro kuangalia tu fursa na kurud!? unapotoka mwanza kuja dar huji kuuliza meli tu pia unakuja kujifunza Namna ya kuexport mizigo ya comoro na kujua siasa zoote ..labda kama huitaj kufanya biashara ndo utabak kutaka kila kitu uletewe mwisho wa siku unakuta data ulizopewa ma uhalisia ni tofautNdo taabu yako ww, kuamini watu wote JF tunaishi Dar, yaani nitoke Mwanza kwenda kuuliza nauri bandarin?