Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mwehu huyu hana tofauti na punguani mwenzake.
Ndio tu vidole twake huko hhhaaa anauma kucha mpaka zinakua hivyoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwehu huyu hana tofauti na punguani mwenzake.
Hivi nani anapendwa na kila mtu hapa Tz
Hatumaanishi tunamchukia Diamond ila alichooandika ni kama dharau kwa watu/mashabiki wake,na ndio maana tukauliza kuna kitu gani cha maana kitakachofanyika huko kwenye bday ambacho hakijawahi kufanywa? Hizo kadi 5 ni bora awape washikaji zake wa tandale walio-hustle nae kwenye kuokota makopo na kuuza mitumba,kama anataka kwa mashabiki aandae show tutaenda.
Hatumaanishi tunamchukia Diamond ila alichooandika ni kama dharau kwa watu/mashabiki wake,na ndio maana tukauliza kuna kitu gani cha maana kitakachofanyika huko kwenye bday ambacho hakijawahi kufanywa? Hizo kadi 5 ni bora awape washikaji zake wa tandale walio-hustle nae kwenye kuokota makopo na kuuza mitumba,kama anataka kwa mashabiki aandae show tutaenda.