Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kuna watu wana hoja dhaifu sana, tena waandishi wa habari ndio nawalaumu ingawa wengi wao akiwemo Ally Kamwe walizaliwa juzi tu, bahati nzuri mimi ni mmoja wa vijana tulioshuhudia mechi ya fainali pale uwanja wa uhuru Simba akizamishwa mabao 2 0 na Stella Abidjan, huku Boli Zozo akiunyamazisha kabisa siku ile.
Kuna malofa waliokosa hoja wanauliza, medali za mchezo kati ya.Simba vs Stella Abidjan ziko wapi?
Jibu ni jepesi tu, nyie waandishi feki nendeni kwa Mwameja au Godwin Aswile, au Kasongo Athuman, Feruzi Telu, Malota Soma, David Mihambo, Deo Mkuki, Twaha Hamidu, Mavumbi Omary, George Lucas Gaza, Hussein Masha, Mbuyi Yondan au muulizeni Azim Dewji watawaonyesha maana mm nilishuhudia Simba akipewa medali siku ile, labda ziliwe na panya maana 1993 had Leo ni miaka 18 ss.
Kuna malofa waliokosa hoja wanauliza, medali za mchezo kati ya.Simba vs Stella Abidjan ziko wapi?
Jibu ni jepesi tu, nyie waandishi feki nendeni kwa Mwameja au Godwin Aswile, au Kasongo Athuman, Feruzi Telu, Malota Soma, David Mihambo, Deo Mkuki, Twaha Hamidu, Mavumbi Omary, George Lucas Gaza, Hussein Masha, Mbuyi Yondan au muulizeni Azim Dewji watawaonyesha maana mm nilishuhudia Simba akipewa medali siku ile, labda ziliwe na panya maana 1993 had Leo ni miaka 18 ss.