Wanaotangaza vifo vya watu mashuhuri kila kukicha kwenye mitandao ya kijamii wajumuishwe kwenye uhujimu uchumi, hawana nia njema na Taifa letu

Kwa hiyo unachoelewa ni kuwa dunia inafikiri Tz haina korona? Tz iko dunia gani hata isiwe na korona? Kuingilia taasisi ya mkemia mkuu ili wasipime korona, kupiga marufuku uwekaji kumbukumbu wa walioathirika na au kufariki kwa korona, na sasa kupinga chanjo ya korona, hakuifanyi Tz isiwe muathirika wa hili janga.

Serikali inayojiweka pembeni na kuwaacha wananchi bila ya uelewa wa kinachoendelea juu ya ugonjwa, na zaidi kuwajaza wananchi fikra potofu kuwa wako salama, halafu huko vijijini, mtaani wanajikuta kila siku ni kuzikana, kila siku kuumwa mambo wasiyoyaelewa, je si kuuhujumu uchumi? Nguvu kazi inakufa, wazazi wanafariki, ilhali ilikuwa rahisi tu kuwaambia watu, vaeni barakoa, epukeni misongamano, ila serikali inafanya kinyume, viongozi ndio waitishe misongamano wakati wenyewe wanajitenga kwenye gari, jukwaani! Nani anayeuhujumi uchumi hapo?
 
Sio kosa lako mkuu,ungekuwa scientist and more specifically an independent scientist ungeshajua kwamba C-19 sio "pandemic" ni "scandemic," flawed and a hoax.You have been conned.The truth is completely the opposite of what you have been made to believe.Everything about C-19 is fake news.
 
Updates:
Rais John Joseph Pombe Magufuli akemea kitendo cha wana habari kushangilia au kushabikia vifo vya vigogo.Asema ni ukosefu wa uzalendo,utu na uungwana.Fuata link ifuatayo 👇uone taarifa kamili.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…