Wanaotetea mkataba kati ya Tanzania bara na DP World wanasumbuliwa na udini!

Wanaotetea mkataba kati ya Tanzania bara na DP World wanasumbuliwa na udini!

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Niseme wazi kabisa wabaotetea huu mkataba wa kipuuzi kati ya Tanzania bara na DP World kuwa wamilikishwe bandari zote za Tanzania bara kwa mkataba usiokuwa na ukomo wanasumbuliwa na udini. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kuungana na huu upuuzi zaidi tu ya udini wao. Wana ajenda yao!

Mtanzania mwenye akili timamu unaanzaje kuunga mkono ushenzi huu. Kwamba eti mtu aje achukue bandari zote halafu utegemee jipya kutoka kwenye uwekezaji wa aina hiyo.

Hivi mmewahi kujiuliza huyo mtu ataendeleza bandari ipi aache ipi? Vipi ni vipaumbele vyake? Tanzania yenyewe itakuwa imefungwa minyororo kwamba haitaruhusiwa kuingilia kitu chochote kile kinachoitwa bandari ndani ya Tanzania bara! Siyo upuuzi huu? Hutaruhusiwa kuendeleza kitu chochote kile kinachoitwa bandari. Usalama wa nchi uko wapi?

Mwisho niwaulize huko serikalini, hivi huwa kuna muda mwingine mnajitoa akili kiasi hicho mpaka kuja na upuuzi wa aina hii?
 
tatizo sio kwamba hawana akili, wanazo lakini waliacha kuwa chama cha siasa zamani sana na hawategemei nguvu ya umma kuendelea kubaki madarakani. they have become a cartel of thugs na hii nchi ndio territory yao. watafanya chochote wasiingiliwe kwenye himaya yao. El Chapo akasome...
 
tatizo sio kwamba hawana akili, wanazo lakini waliacha kuwa chama cha siasa zamani sana na hawategemei nguvu ya umma kuendelea kubaki madarakani. they have become a cartel of thugs na hii nchi ndio territory yao. watafanya chochote wasiingiliwe kwenye himaya yao. El Chapo akasome...
This time tutawaangusha kwa kishindo kikubwa
 
Tumeshasema bandarini vishoka mwisho wenu umefika katafuteni kazi za kufanya lazima mifumo isomane mtake msitake hata mkiingiza udini haitasaidia. Mama kanyaga twende watanzania tupo nyuma yako.
 
Sio lazima mawazo na fikra zifanane
 
Niseme wazi kabisa wabaotetea huu mkataba wa kipuuzi kati ya Tanzania bara na DP World kuwa wamilikishwe bandari zote za Tanzania bara kwa mkataba usiokuwa na ukomo wanasumbuliwa na udini. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kuungana na huu upuuzi zaidi tu ya udini wao. Wana ajenda yao!

Mtanzania mwenye akili timamu unaanzaje kuunga mkono ushenzi huu. Kwamba eti mtu aje achukue bandari zote halafu utegemee jipya kutoka kwenye uwekezaji wa aina hiyo.

Hivi mmewahi kujiuliza huyo mtu ataendeleza bandari ipi aache ipi? Vipi ni vipaumbele vyake? Tanzania yenyewe itakuwa imefungwa minyororo kwamba haitaruhusiwa kuingilia kitu chochote kile kinachoitwa bandari ndani ya Tanzania bara! Siyo upuuzi huu? Hutaruhusiwa kuendeleza kitu chochote kile kinachoitwa bandari. Usalama wa nchi uko wapi?

Mwisho niwaulize huko serikalini, hivi huwa kuna muda mwingine mnajitoa akili kiasi hicho mpaka kuja na upuuzi wa aina hii?
Habari mpya

Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko alikojificha. Akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi wa ushoga. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Mwisho niwaulize huko serikalini, hivi huwa kuna muda mwingine mnajitoa akili kiasi hicho mpaka kuja na upuuzi wa aina hii?
Hivi AG alipitia huu mkataba?? AG na Spika nao wameshindwa kuweka maslahi ya nchi?

Kwanini tuhuma ziende kwa mmoja tu kama yeye pekee ndie aliamua?.
 
Niseme wazi kabisa wabaotetea huu mkataba wa kipuuzi kati ya Tanzania bara na DP World kuwa wamilikishwe bandari zote za Tanzania bara kwa mkataba usiokuwa na ukomo wanasumbuliwa na udini. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kuungana na huu upuuzi zaidi tu ya udini wao. Wana ajenda yao!

Mtanzania mwenye akili timamu unaanzaje kuunga mkono ushenzi huu. Kwamba eti mtu aje achukue bandari zote halafu utegemee jipya kutoka kwenye uwekezaji wa aina hiyo.

Hivi mmewahi kujiuliza huyo mtu ataendeleza bandari ipi aache ipi? Vipi ni vipaumbele vyake? Tanzania yenyewe itakuwa imefungwa minyororo kwamba haitaruhusiwa kuingilia kitu chochote kile kinachoitwa bandari ndani ya Tanzania bara! Siyo upuuzi huu? Hutaruhusiwa kuendeleza kitu chochote kile kinachoitwa bandari. Usalama wa nchi uko wapi?

Mwisho niwaulize huko serikalini, hivi huwa kuna muda mwingine mnajitoa akili kiasi hicho mpaka kuja na upuuzi wa aina hii?
Tuambie wewe upuuzi wa huo mkataba? Kipengele kwa kipengele
 
Niseme wazi kabisa wabaotetea huu mkataba wa kipuuzi kati ya Tanzania bara na DP World kuwa wamilikishwe bandari zote za Tanzania bara kwa mkataba usiokuwa na ukomo wanasumbuliwa na udini. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kuungana na huu upuuzi zaidi tu ya udini wao. Wana ajenda yao!

Mtanzania mwenye akili timamu unaanzaje kuunga mkono ushenzi huu. Kwamba eti mtu aje achukue bandari zote halafu utegemee jipya kutoka kwenye uwekezaji wa aina hiyo.

Hivi mmewahi kujiuliza huyo mtu ataendeleza bandari ipi aache ipi? Vipi ni vipaumbele vyake? Tanzania yenyewe itakuwa imefungwa minyororo kwamba haitaruhusiwa kuingilia kitu chochote kile kinachoitwa bandari ndani ya Tanzania bara! Siyo upuuzi huu? Hutaruhusiwa kuendeleza kitu chochote kile kinachoitwa bandari. Usalama wa nchi uko wapi?

Mwisho niwaulize huko serikalini, hivi huwa kuna muda mwingine mnajitoa akili kiasi hicho mpaka kuja na upuuzi wa aina hii?
Mimi mkristo na ninautetea! Je mimi mdini?
 
Habari mpya

Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko alikojificha. Akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi wa ushoga. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
So we ajuza upo upande gani wa iuzwe au ibaki?
 
Back
Top Bottom