Wanaotetea mkataba kati ya Tanzania bara na DP World wanasumbuliwa na udini!

Wanaotetea mkataba kati ya Tanzania bara na DP World wanasumbuliwa na udini!

Habari mpya

Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko alikojificha. Akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi wa ushoga. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Duh

Ova
 
Habari mpya

Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko alikojificha. Akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi wa ushoga. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kwa Kauli Zako Hizi Inawezekana Ata Wewe Na Uzee Wako Huna Marinda.
Uliyatoa Kipindi Ukimhifadhia Bikra Aliyekuoa.
 
Habari mpya

Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko alikojificha. Akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi wa ushoga. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Jielekeze kwenye topic
 
Tanganyikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ,njooooooooo haraka Kuna waizi wanagonga gonga na vitu vizito wanakaribia kuvunja ,wamevunja komeo like kubwa la bunge wamekaribia wale mbwa wa ulinzi hawaonekani wamepewa vinyama vyenye dawa za kulewa wamelewa, Tanganyikaaaaaaaaaaaaaaaaa! Fanya haraka njoooooo,tunaibiwa Sasa wewe bado unavuta miguuuu huko,chelewa chelewa utakuta mwana so wako
 
Na huo ndio ukweli, vipengele vyenye ukakasi wa kuuza nchi ndio hoja, tunaomba hoja hizo zijibiwe
 
Niseme wazi kabisa wabaotetea huu mkataba wa kipuuzi kati ya Tanzania bara na DP World kuwa wamilikishwe bandari zote za Tanzania bara kwa mkataba usiokuwa na ukomo wanasumbuliwa na udini. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kuungana na huu upuuzi zaidi tu ya udini wao. Wana ajenda yao!

Mtanzania mwenye akili timamu unaanzaje kuunga mkono ushenzi huu. Kwamba eti mtu aje achukue bandari zote halafu utegemee jipya kutoka kwenye uwekezaji wa aina hiyo.

Hivi mmewahi kujiuliza huyo mtu ataendeleza bandari ipi aache ipi? Vipi ni vipaumbele vyake? Tanzania yenyewe itakuwa imefungwa minyororo kwamba haitaruhusiwa kuingilia kitu chochote kile kinachoitwa bandari ndani ya Tanzania bara! Siyo upuuzi huu? Hutaruhusiwa kuendeleza kitu chochote kile kinachoitwa bandari. Usalama wa nchi uko wapi?

Mwisho niwaulize huko serikalini, hivi huwa kuna muda mwingine mnajitoa akili kiasi hicho mpaka kuja na upuuzi wa aina hii?
Zaidi ni wazanzibar na waisiharamu ...hakuna muislamu anaweza kutetea ule uhuni wa dp
 
Kama ni hi basi kama Taifa tuna safa ndefu katika kufikia maendeleo ya kweli.
 
Mimi ni Atheist nina kama miezi 6 lakini natetea uwekezaji wa kwenye Bandari ya Dar kama kuna makosa katika VIPENGELE vya mkataba basi virekebishwe.

Nawapinga wanaopinga uwekezaji kwenye Bandari kwasababu ya Mbari (Race) yao au Dini zao.

Na ninawapinga wanaomtukana huyu Mama wa watu kila uchwao wakati wa Magufuli waliufyata mkia na kuuingiza tumboni.
 
Habari mpya

Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko alikojificha. Akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi wa ushoga. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Wewe kigagula wacha uongo wako wa kishetani,wewe unalipa vijana wadogo wakufanye kinyume na maumbile ndiyo maana kila mtu anayepingana na uovu wa DP World unam brand ushoga kwa vile ushoga ndiyo umeujaza moyo wako.
 
Back
Top Bottom