Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Nakwambiaje huwezi nifikia mimi kielimuHuna elimu yyte ya maaña maandiko yako yanathibitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakwambiaje huwezi nifikia mimi kielimuHuna elimu yyte ya maaña maandiko yako yanathibitisha
Unasema?Na kamwe bandari hatopewa mwarabu
Ulivyo kuwa mjinga unashindana na mtu usiye mfahamu kielimu kwenye social media! How can that be possible!?? Ndio maana nakwambia huna akili.Nakwambiaje huwezi nifikia mimi kielimu
Hiyo ni tafsiri yako. Una haki hiyo. Ila huo ndo ukweli wenyeweUlivyo kuwa mjinga unashindana na mtu usiye mfahamu kielimu kwenye social media! How can that be possible!?? Ndio maana nakwambia huna akili.
DuhHabari mpya
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,
mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko alikojificha. Akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi wa ushoga. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kwa Kauli Zako Hizi Inawezekana Ata Wewe Na Uzee Wako Huna Marinda.Habari mpya
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,
mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko alikojificha. Akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi wa ushoga. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Jielekeze kwenye topicHabari mpya
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,
mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko alikojificha. Akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi wa ushoga. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Zaidi ni wazanzibar na waisiharamu ...hakuna muislamu anaweza kutetea ule uhuni wa dpNiseme wazi kabisa wabaotetea huu mkataba wa kipuuzi kati ya Tanzania bara na DP World kuwa wamilikishwe bandari zote za Tanzania bara kwa mkataba usiokuwa na ukomo wanasumbuliwa na udini. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kuungana na huu upuuzi zaidi tu ya udini wao. Wana ajenda yao!
Mtanzania mwenye akili timamu unaanzaje kuunga mkono ushenzi huu. Kwamba eti mtu aje achukue bandari zote halafu utegemee jipya kutoka kwenye uwekezaji wa aina hiyo.
Hivi mmewahi kujiuliza huyo mtu ataendeleza bandari ipi aache ipi? Vipi ni vipaumbele vyake? Tanzania yenyewe itakuwa imefungwa minyororo kwamba haitaruhusiwa kuingilia kitu chochote kile kinachoitwa bandari ndani ya Tanzania bara! Siyo upuuzi huu? Hutaruhusiwa kuendeleza kitu chochote kile kinachoitwa bandari. Usalama wa nchi uko wapi?
Mwisho niwaulize huko serikalini, hivi huwa kuna muda mwingine mnajitoa akili kiasi hicho mpaka kuja na upuuzi wa aina hii?
mmeona mje na njia hii kuwasimamisha harakati kupinga mkataba mbovu hii nayo mtafeli kweupe yani.Wewe ndiyo Soka nini?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Sasa hivi hata ukiingia Google uki search "DP World Tanzania" tayari unakuta Waarabu wa Dubai wapo wamejaa tele.mmeona mje na njia hii kuwasimamisha harakati kupinga mkataba mbovu hii nayo mtafeli kweupe yani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kigagula wacha uongo wako wa kishetani,wewe unalipa vijana wadogo wakufanye kinyume na maumbile ndiyo maana kila mtu anayepingana na uovu wa DP World unam brand ushoga kwa vile ushoga ndiyo umeujaza moyo wako.Habari mpya
Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,
mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko alikojificha. Akasema yeye ameahidiwa akianzisha maandamano atafanyiwa mpango apelekwe Denmark au Canada akapate ukimbizi wa ushoga. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Tumeshasema bandarini vishoka mwisho wenu umefika katafuteni kazi za kufanya lazima mifumo isomane mtake msitake hata mkiingiza udini haitasaidia. Mama kanyaga twende watanzania tupo nyuma yako.
Kwanini hujajitokeza kuandamana?
Na kamwe bandari hatopewa mwarabu