Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahiiWasiishie kuwasajili tu na wawe wanawapa seminar namna ya ku handle...
Upuuz mtupuSasa mtu atoke mwanza aende Dodoma kusajiriwa ? Hiv wapo serious kweli? Yan wao wenyewe wameshindwa ata kuwafikia wanachama wao
Mkuu mwanaume akufanyie massage mbona balaaaa😃😃😃Hivi hiyo massage inafanywa na mwanamke au mwanaume?
kama ni mwanamke, unaachaje kudindisha kwa kushikwashikwa na kukandwa kandwa na mwanamke mwili mzima?
na si ndo umalaya na ukahaba wenyewe unapoanzia hapo?
😀😀😀😀😀Link?
Kama kawaida .ila ukihitaji lakiniNa wakifka mgegedo kama kawa
kwani wanawake wanafanyiwa massage na kina nani kama sio wanaume?Mkuu mwanaume akufanyie massage mbona balaaaaí ½í¸í ½í¸í ½í¸
Mkuu msweeden unazingua mabango yao yalivyojaa mjini na mpka mitandaoni unataka access ya nini tena ?Mkuu Nipe access nawapataje hawa
Halafu unajua DeepPond unazingua unajua kabisa hizi mission za hizi message unajikuta mjanja [emoji3] eti drink responsiblyNdo maana wameandika "Drink responsibily"[emoji4]
Kuna wale mashoga wa hadhi wanajiita smart gay wanafanyiwa na kidume unagusa unasugua tako kuna watu wana kazi ngumu sanaMkuu mwanaume akufanyie massage mbona balaaaa[emoji2][emoji2][emoji2]
Baraza la tiba asili na tiba mbadala Tanzania limeagiza vituo vyote vinavyotoa huduma za kusinga maarufu kama “massage” kuhakikisha vinajisajili pamoja na kusajili watoa huduma wao kabla ya Machi 31 mwaka huu.
Baraza limeeleza kwamba usajili huo utafanyika kwa kituo husika pamoja na watoa huduma hiyo pia wanatakiwa kuwa na vibali kutoka katika baraza hilo.
Hayo yamebainishwa leo Januari 14, 2022 jijini Dar es Salaam na Ndahali Msigwa kutoka sekretariet ya tiba asili na mbadala wakati akifafanua jambo katika kikao cha bodi kilichowakutanisha kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali kuhusu sekta hiyo.
“Tumetoa muda hadi kufikia Machi 31. Huduma za massage ni tiba mbadala ambayo mtoa huduma anatakiwa kuwa amepata mafunzo maalum, hivyo lazima asajiliwe kabla ya kutoa huduma na kituo pia kisajiliwe. Utoaji wa huduma bila usajili ni kukiuka sheria zilizowekwa.
“Wanatakiwa kufika katika ofisi za Baraza jijini Dodoma kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji wa usajili kabla ya huo muda tajwa,” amesema Ndahali.
Mwenyekiti msaidizi wa bodi ya baraza hilo, Dk Elizabeth Lema ametoa tafsiri ya tiba asili na tiba mbadala.
“Tiba asili ni zile ambazo tulirithi kwa mababu zetu na tiba mbadala ni zile ambazo watu wanasomea zinazotolewa kwa elimu rasmi,” amesema.
Baraza la tiba asili na tiba mbadala ndio baraza lenye mamlaka ya usajili na utoaji leseni kwa watoaji wa tiba hizo.
Mwananchi
Stone eraMliko toka wapi