Wanaotoa huduma za ‘massage’ watakiwa kujisajili

Hivi hiyo massage inafanywa na mwanamke au mwanaume?

kama ni mwanamke, unaachaje kudindisha kwa kushikwashikwa na kukandwa kandwa na mwanamke mwili mzima?

na si ndo umalaya na ukahaba wenyewe unapoanzia hapo?
Mkuu mwanaume akufanyie massage mbona balaaaa😃😃😃
 
Watu wengi hawataki huduma za professional massage. Wanataka huduma za msuguano.
 
Ndo maana wameandika "Drink responsibily"[emoji4]
Halafu unajua DeepPond unazingua unajua kabisa hizi mission za hizi message unajikuta mjanja [emoji3] eti drink responsibly

Wakati ukiwepo kule wakigusa sipo ndipo maana wana ule uchokozi wao wa kijanja wa kubadilisha huduma kuwapatia pesa

Tayari ushapagawa halafu hapa unajifanya una kaza [emoji3]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

Tanzania hizo gava insts na agencies kuna vilaza wengi sana…same halmashauris na TRA the likes plus central gava…yaani hawawezi ku create mazingira ya kodi ili kuvutia shughuli ni hadi wajasiriamali wajikusanye waunde wazo wakishaanza kuingiza pesa ndio pua za serikali zinajitokeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…