hauzeeee45
Member
- Jul 3, 2024
- 23
- 71
Wanaotoka diploma kwenda degree muhas wengi form 4 hawakupata matokeo mazuri mathe ,na physic
Leo niliamua kupitia waliokuwa selected muhas pale 2022/2023 nimekuta wengi waliotoka diploma kwenda degree matokeo yao ya form 4 wana had 3 wengine wana 2 ambazo mathe na physoce wamefeli vibaya mno kuna wengine wana D kabisaa
Hii kitu inanipa mashaka juu ya selection za Muhas wanaangalia nini zaidi au hua wanabase na GPA TU
Mimi nina 4.7 ila nishakata tamaa kabisaaKuna jamaa aliingia muhas 2020 MD namjua olevel alikuwa na Division 4 ya 26 sema alikuwa na GPA ya 5.0 clinical medicine diploma
Omba wewe unakataje tamaa kirahisi hivoMimi nina 4.7 ila nishakata tamaa kabisaa
NimeshtukaKuna jamaa aliingia muhas 2020 MD namjua olevel alikuwa na Division 4 ya 26 sema alikuwa na GPA ya 5.0 clinical medicine diploma
Kwamba ukiomba unakosa? Ila kwasasa vijana wanafaulu sana mambo yamelainishwa.Mimi nina 4.7 ila nishakata tamaa kabisaa
Mnadanganyana humu. Selection ya MUHAS haitegemei matokeo ya form four. Ni matokeo ya Diploma tuWanaotoka diploma kwenda degree muhas wengi form 4 hawakupata matokeo mazuri mathe ,na physic
Leo niliamua kupitia waliokuwa selected muhas pale 2022/2023 nimekuta wengi waliotoka diploma kwenda degree matokeo yao ya form 4 wana had 3 wengine wana 2 ambazo mathe na physoce wamefeli vibaya mno kuna wengine wana D kabisaa
Hii kitu inanipa mashaka juu ya selection za Muhas wanaangalia nini zaidi au hua wanabase na GPA TU
Upo sawa kabisa. Kikubwa mtoto wa Diploma ni kuhakikisha anapata first classKuna jamaa aliingia muhas 2020 MD namjua olevel alikuwa na Division 4 ya 26 sema alikuwa na GPA ya 5.0 clinical medicine diploma
Siredi ifungwe au ifutwe , umemaliza!Wahadhiri wa vyuo vikuu vya Afrika wapo kwa ajili ya kujitapa na kujivuna kuwa wao ndio wenye akili nyingi sana. Hawataki kukuza vijana ili wawe kama wao. Ukiwa na akili, wanakundia majungu ili ufeli na usije ukalingana nao.
Katika vyuo vya wenzetu, wahadhiri wanasaidia na kukuza vijana ili waendeleze maarifa yao na nchi yao. Nashukuru sikuwahi kusoma vyuo vya kishenzi vya Waafrika weusi. Ndiyo maana Waafrika wana vyuo vingi lakini matokeo ya utendaji kazi ni sifuri.
Wahadhiri wanajiona wao ndio wao na wanatengeneza genge lao la uhalifu. Wale walioleta mapendekezo ya tafiti watakuwa mashahidi wangu. Wahadhiri wanakushambulia kwa ugomvi kama wamegundua umewakilisha mada nzuri, kwa sababu hawataki uzidi wao.
Hii ndio inafikia mahali ambapo wasomi wa Kiafrika hawaaminiki, hadi raslimali zetu zinaendeshwa na wageni toka nje waliofeli kidato cha nne. Hivi maprofesa wetu wameshindwaje kuendesha bandari, mwendo kasi, madini, T.R.A, gesi, maliasili, misitu, maji bahari, maziwa na mito, umeme, miundombinu, na usafirishaji nk.
Wao wapo kuchekelea kufelisha wanafunzi tu. Waafrika ngozi nyeusi ni kama wana laana sababu ya hao maprofesa uchwara. Maprofesa wa kusubiri mshahara, ugunduzi ni sifuri asilimia. Sasa hivi maprofesa wetu wanakimbilia kufanya kazi za siasa na uchawa tu, na kuhama vyama vya siasa. Hadi nchi inauzwa wapo kimya kwa sababu ya njaa ya mshahara wa milioni tatu, ukiweka makato wanabaki na milioni moja na nusu. Hadi toothpicks tunaagiza nje.
Ni aibu sana kujiita Profesa kwenye nchi zetu. Profesa umegundua nini cha kuisaidia jamii yako? Eti ni Profesa wa kusahihisha mitihani tu. My foot. My mouth.
Wanaotoka diploma kwenda degree muhas wengi form 4 hawakupata matokeo mazuri mathe ,na physic
Leo niliamua kupitia waliokuwa selected muhas pale 2022/2023 nimekuta wengi waliotoka diploma kwenda degree matokeo yao ya form 4 wana had 3 wengine wana 2 ambazo mathe na physoce wamefeli vibaya mno kuna wengine wana D kabisaa
Hii kitu inanipa mashaka juu ya selection za Muhas wanaangalia nini zaidi au hua wanabase na GPA
Sijajua unauliza vigezo unataka ujulishwe vigezo vyao au unatilia mashaka mfumo wao wa selection ni mbaya, au unahoji selection Yao Kwa kuangalia somo Moja la Physics na Maths.... Maana naona mchanganyiko wa kutosha hapa😁 anyway mtu anayesoma degree kutoka diploma Cha kwanza wanaangalia GPA then wanakuja kuangalia matokeo yako ya form four na hawaangalii Physics na maths, wanaangalia Physics, Chemistry na Biology, ufaulu wa English na Maths Ukiwa sifa ya ziada, nina pia unaweza kuwa na hiyo GPA kubwa na bado ukakosa kutegemea na aina ya walioomba mwaka huo kumbuka wanaochaguliwa degree MUHAS kupitia diploma Huwa hawazidi 20 unaweza kuwa na GPA ya 4.7 halaf wenzio zaidi ya 25 Wana GPA kubwa kuliko wewe Yani 4.8 mpaka 5.0 ni obvious huwezi kuchaguliwa Kwa aliyesoma diploma matokeo ya O level Huwa ni sifa ya ziada Cha kwanza ni GPA ya diploma... Inshort kama huna GPA ya 1st Class(GPA 4.4 and above) MUHAS huchaguliwi... OverWanaotoka diploma kwenda degree muhas wengi form 4 hawakupata matokeo mazuri mathe ,na physic
Leo niliamua kupitia waliokuwa selected muhas pale 2022/2023 nimekuta wengi waliotoka diploma kwenda degree matokeo yao ya form 4 wana had 3 wengine wana 2 ambazo mathe na physoce wamefeli vibaya mno kuna wengine wana D kabisaa
Hii kitu inanipa mashaka juu ya selection za Muhas wanaangalia nini zaidi au hua wanabase na GPA TU
Nimeomba sahv hapa kupitia messeji yako umenipa confidence mwanangu uzuri form 4 niligonga CBC C MATH,BIOS,CHEM,PHYSOmba wewe unakataje tamaa kirahisi hivo
Afute nani??Siredi ifungwe au ifutwe , umemaliza!
Upo sawa hili suala la kuangalia division au gpa walifikirie vizuri. Inawezekana mtu ana uwezo mzuri ila siku ya mtihani akawa tu na msongo na akafeli na jamii inamuona hajui. Ila yule hajui siku ya mwisho tu kakutana na maswali aliyo pitia jana anafaulu anaonekana genius.Wahadhiri wa vyuo vikuu vya Afrika wapo kwa ajili ya kujitapa na kujivuna kuwa wao ndio wenye akili nyingi sana. Hawataki kukuza vijana ili wawe kama wao. Ukiwa na akili, wanakundia majungu ili ufeli na usije ukalingana nao.
Katika vyuo vya wenzetu, wahadhiri wanasaidia na kukuza vijana ili waendeleze maarifa yao na nchi yao. Nashukuru sikuwahi kusoma vyuo vya kishenzi vya Waafrika weusi. Ndiyo maana Waafrika wana vyuo vingi lakini matokeo ya utendaji kazi ni sifuri.
Wahadhiri wanajiona wao ndio wao na wanatengeneza genge lao la uhalifu. Wale walioleta mapendekezo ya tafiti watakuwa mashahidi wangu. Wahadhiri wanakushambulia kwa ugomvi kama wamegundua umewakilisha mada nzuri, kwa sababu hawataki uzidi wao.
Hii ndio inafikia mahali ambapo wasomi wa Kiafrika hawaaminiki, hadi raslimali zetu zinaendeshwa na wageni toka nje waliofeli kidato cha nne. Hivi maprofesa wetu wameshindwaje kuendesha bandari, mwendo kasi, madini, T.R.A, gesi, maliasili, misitu, maji bahari, maziwa na mito, umeme, miundombinu, na usafirishaji nk.
Wao wapo kuchekelea kufelisha wanafunzi tu. Waafrika ngozi nyeusi ni kama wana laana sababu ya hao maprofesa uchwara. Maprofesa wa kusubiri mshahara, ugunduzi ni sifuri asilimia. Sasa hivi maprofesa wetu wanakimbilia kufanya kazi za siasa na uchawa tu, na kuhama vyama vya siasa. Hadi nchi inauzwa wapo kimya kwa sababu ya njaa ya mshahara wa milioni tatu, ukiweka makato wanabaki na milioni moja na nusu. Hadi toothpicks tunaagiza nje.
Ni aibu sana kujiita Profesa kwenye nchi zetu. Profesa umegundua nini cha kuisaidia jamii yako? Eti ni Profesa wa kusahihisha mitihani tu. My foot. My mouth.
Iko wazi chief nilianza kukimbiza 0 levl kuanzia form 2 mpaka nafika 4 nakimbiza na 1 mfululizo karib na mtihan wa taifa nikakumbwa na ttzo la kutokusikia kabisa na kuonaa sionii chiief huwez amin nimemaliza na 2 form 4 hali ya kua toka nipo form 2 sikuwah kupata 2 ni one za 8 na kuendelea then kunajamaa wa kawaida tu kapiga 1 japo physics aligonga mswaki wake mzri tuUpo sawa hili suala la kuangalia division au gpa walifikirie vizuri. Inawezekana mtu ana uwezo mzuri ila siku ya mtihani akawa tu na msongo na akafeli na jamii inamuona hajui. Ila yule hajui siku ya mwisho tu kakutana na maswali aliyo pitia jana anafaulu anaonekana genius.
Ofcourse ndio maana huwa kuna countinous assesments ila wakufunzi wawe wana monitor wanafunzi wao kwa karibu na continous assesments ziwe na asilimia kubwa zaidi kwenye ku determine GPAs na divisions.
Maana mimi wakati namaliza form four kuna mwamba sikuamini nilipoona nimepata division ya juu yake. Yani huyo ndio alikuwa role model na mwalimu wangu sijui kilimpata nini kipindi kile cha mitihani.