nani alisema mwanamke anayetembea nje ya ndoa kwa kufuata fedha huwa hafumaniwi' kwa taarifa yako huwa ni rahisi sana kuliko hata wale wafanyao ufisadi kwa matakwa yao binafsi ambayo ni kinyume na Biblia. Mojawapo huwa ni wakati wa kutaka mahitaji/matumizi yao, hubadilika kmpaka wanatisha