Haya wenyewake zao waanze kuangalia nyendo za wake zao. Wasidhani akichiti upendo unapungua. Na isijekuwa analeta hela nyumbani, we unadhani saloon yake inachanganya kumbe anamegwa.
nani alisema mwanamke anayetembea nje ya ndoa kwa kufuata fedha huwa hafumaniwi' kwa taarifa yako huwa ni rahisi sana kuliko hata wale wafanyao ufisadi kwa matakwa yao binafsi ambayo ni kinyume na Biblia. Mojawapo huwa ni wakati wa kutaka mahitaji/matumizi yao, hubadilika kmpaka wanatisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.