Wanaotoka sare kizembe na timu mbovu kama Biashara United Hawawezi michuano ya Kimataifa , Subirini Aibu

"Shida tuliyonayo mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu...". Alisikika kiongozi mmoja wa zamani wa FAT, mbunge mstaafu wa Tabora na mwanachama maarufu wa makolo.
"Yaani kule ukimuondoa Mzee Manara na J. K, wanaobaki hawajielewi" Alisikika jamaa mmoja hivi.
 
Yanga amepoteza mechi ngapi katika ligi msimu huu?
Yanga amefungwa magoli mangapi na ameshinda magoli mangapi?

Haya tumia maswali hayo nenda kaangalie timu yako sasa

Wewe jamaa kwenye soka ni mweupe kabisa kama mataga na uvccm tu
 
Mwekee video ya ile mechi, hakuna timu ya Tanzania ambayo imewahi kucheza mpira mkubwa ugenini kama Yanga walivyo cheza ile mechi. Nadhani hawakuwa tu na bahati,
 
walipeni penseni wazee wenu kwanza
 
Na rekodi ya kupigwa nje ndani round ya kwanza chalii ndo tunayo yanga
 
kama yanga inabutuabutua basi hii ligi hakuna timu yoyote inayoucheza mpira
 
Sasa uto watafungwaje goli 10 kama wanacheza mechi 2 tu na kutolewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…