Wanaotoka sare kizembe na timu mbovu kama Biashara United Hawawezi michuano ya Kimataifa , Subirini Aibu

Muda huu unaohangaika mtandaoni ungekuwa umetulia unampikia mume wako,ingekuwa poa kwa mustakabali wa ndoa yako Dada mzuri
Ushampikia bwanako nawewe? Hivi utopolo bila matusi hamuwezi kujibu hoja? Nikufahamishe tu nakojoa nikiwa nimesimama kama unatafuta mme nenda love connect
 
Ushampikia bwanako nawewe? Hivi utopolo bila matusi hamuwezi kujibu hoja? Nikufahamishe tu nakojoa nikiwa nimesimama kama unatafuta mme nenda love connect
Ahaa samahani coz niliona Siku moja unatafuta mume wa kukuoa

Kumbe ushapata tayari huyo Mume....Hongera
 
Ajabu sana, mpaka wakipangwa na Gor Mahia na Rayon bado wanakamata nafasi za mwisho.
Ni ajabu kwa mtu ambaye hakuwepo ila amesimuliwa tu. Hicho kipindi Manji alikua na misukosuko na uongozi wa nchi na timu ikawa haina hela ya kuwalipa wachezaji. Hata kusafiri tu ilikua tabu, mechi ya ugenini dhidi ya usm alger wachezaji walibembelezwa angalau wafike uwanjani tu kukamilisha ratiba.

Hicho ndio kipindi yanga alicheza na mbeya city pale sokoine huku benchi kukiwa na wachezaji wawili tu bila kipa wa akiba na Tambwe alijitolea tu kukaa benchi huku akiwa majeruhi.

Yanga ilikua kwenye kipindi kigumu sana. Kama uko kishabiki sawa ila kama unataka facts basi amini ile timu ilijitahidi sana hata kupata hizo point 4
 
Mjifunze kujitegemea
 
Kama Simba hamwezi Mtibwa na anafika robo fainali kwani Yanga isifanye vizuri kwa kudraw na biashara, tena Yanga akiwa kapumzisha wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza?, Simba angekuwa ni mzuri angechukua kombe la ligi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…