Pre GE2025 Wanaotuhumiwa kuwa sio raia. Serikali itoe tamko

Pre GE2025 Wanaotuhumiwa kuwa sio raia. Serikali itoe tamko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kabla hata ya mkuu wa Majeshi kuongea lolote hapa JF hizo story za Viongozi ambao wanaotuhumiwa kuwa raia wa nchi Jirani zilikuwa zimesambaa Sana.

Binafsi siamini kama kweli Jeshi limechunguza saana. Zaidi ya kuja hapa JF na Ku connect dots.

JF imekuwa source ya habari nyingi.

Sasa nafikiri wakati umefika Viongozi wanaotuhumiwa watoe maelezo au serikali itoe maelezo ya kujitosheleza kuliko kukaa kimyaa.

Kimya hiki kinaleta sintofaham nyingi.
 
Kama nchi imeweza kuongozwa na mkimbizi tangu 2015-2021, unashangaa nini. Sasa tuna naibu PM
Bado hujapona tu....

Tugange ya mbele, MWAMBA hakuwa level yenu aisee! Kama unavyosikia stori za akina Kwame, Haile, basi shukuru ulipata wasaa wakuishi zama za MWAMBA, utakuwa na la kusimulia au hata kuwa hadidu ya rejea.

Si wapo wanaopambana na kumchafua Julius! Angalia juhudi zao, ni kama tone la maji baharini!
 
Kabla hata ya mkuu wa Majeshi kuongea lolote hapa JF hizo story za Viongozi ambao wanaotuhumiwa kuwa raia wa nchi Jirani zilikuwa zimesambaa Sana...
Lile Lili kuwa tamko LA kisiasa tu bro, akili za CCM ni kama akili za mwijaku, baba levo,manara,na dullar makabila, unatengeneza skendo, watu wanaacha kujadili Mambo ya msingi, wanahamia kwenye jambo sensitive, lakini lililowekwa kitaperi,

Kenge wa CCM hawataki watu wajadili miswada ya kitaperi waliyopelwka bungeni,

"Yaani raisi wa nchi, mkuu wako wa jeshi ankupa tsarina tena hadharani, kuwa kuna mamluki serikali ni, harafu wewe raisi, wiki moja baadae,unafanya sherehe yako ya kuzaliwa! "Kwa wenye akili tulijua tu hii ni bongo muvi,kibaya zaidi,mkuu wa, jeshi naye amekubali kutumiwa kama toilet paper!

Niki angalia kikundi cha Hamas, kilivyowatandika IDF, nawaza kikitokea kikundi kina ubavu kama hamas, hawa, vijana wa mabakamabaka, na mikwara Yao mingi ya kupigana na raia, watachapwa mpaka wabakwe
 
Kuna mdau mmoja anasema serikali itoe tamko dhidi ya viongozi walio teuliwa wasio raia je inawezekana kama serikali yenyewe iliyopo madarakani haikuingia madarakani paspo matakwa ya Raia?
Jibu wewe
 
Bado hujapona tu....

Tugange ya mbele, MWAMBA hakuwa level yenu aisee! Kama unavyosikia stori za akina Kwame, Haile, basi shukuru ulipata wasaa wakuishi zama za MWAMBA, utakuwa na la kusimulia au hata kuwa hadidu ya rejea.

Si wapo wanaopambana na kumchafua Julius! Angalia juhudi zao, ni kama tone la maji baharini!
Mwamba gani mwoga mpaka anaamua kuua vijana wadogo ili abaki na sifa za kijinga.
 
Kabla hata ya mkuu wa Majeshi kuongea lolote hapa JF hizo story za Viongozi ambao wanaotuhumiwa kuwa raia wa nchi Jirani zilikuwa zimesambaa Sana.

Binafsi siamini kama kweli Jeshi limechunguza saana. Zaidi ya kuja hapa JF na Ku connect dots.

JF imekuwa source ya habari nyingi.

Sasa nafikiri wakati umefika Viongozi wanaotuhumiwa watoe maelezo au serikali itoe maelezo ya kujitosheleza kuliko kukaa kimyaa.

Kimya hiki kinaleta sintofaham nyingi.
Mimi mbona nilisema sana hapa jf kuwa nchi ipo mikononi mwa raia feki wapumbavu mlishindwa kunielewa hadi mkuu wa majeshi kafanya fitina mbele ya rais kama honyo kwa rais ...ila wengi mmeshindwa kuelewa kwanini mkuu wa majeshi na team yake wamefikia kumwanika rais hadharani wakati wangeweza kumwambia chini kwa chini ....huyu mkuu wa majeshi inawezekana anajitambua.
 
Kabla hata ya mkuu wa Majeshi kuongea lolote hapa JF hizo story za Viongozi ambao wanaotuhumiwa kuwa raia wa nchi Jirani zilikuwa zimesambaa Sana.

Binafsi siamini kama kweli Jeshi limechunguza saana. Zaidi ya kuja hapa JF na Ku connect dots.

JF imekuwa source ya habari nyingi.

Sasa nafikiri wakati umefika Viongozi wanaotuhumiwa watoe maelezo au serikali itoe maelezo ya kujitosheleza kuliko kukaa kimyaa.

Kimya hiki kinaleta sintofaham nyingi.
Hao wanaotuhumiwa wanajijua? Manake orodha Yao haijawahi kutolewa hadharani. Tunashauri orodha itolewe kwanza halafu hatua ya kuwahoji ifuate.
 
Back
Top Bottom